Wanaume wengi hupenda kuwa kwenye mahusiano na kuoa mwanamke wa aina hii...

Hili kundi la 1 nahis ndo ugonjwa wangu.Sio Kwa simu hizi za ma ex wangu
 
Nafkir ni Kundi la Tatu
Tunasubiria wale Wazee wanaochukua Kiinua Mgongo ili tujiachie nao pamoja...
Ni kumpa Mapenz Moto moto akinogewa nakuwa Mke Mdogo for A While
Then Na Accomplish Malengo yangu Siku zinaenda..
 
Wewe sasa ndio umetolea ufafanuzi wa hoja za Speaker wa mada.😂😂😂 kikubwa upendo tu
 
Ndio haya nimepata pesa nikaja kwako tukala maisha mara pa mshiko unakata kuna mahaba hapo? Ngoja niendelee kujilia readymade tena siku hz mpaka mkopo wanatoa[emoji38][emoji38]
😂😂😂😂😂😂😂 we jamaa andazi kweli
 
Hapa umegusa penyew nimechoka nao mm

Ambao siwapend kaz kunijitegesha kwangu
Wakati mnaongea haya mkumbuke kuna kijana mahali flani yuko juu ya deka sahizi anapiga bao la mkono...angepewa hata huyo unaemuona jau angesuuzika sana nafsi... Tujifunze kuwa na shukurani wanangu!!!😂😂😂
 
Wanawake wengi wanapenda wanaume wakimya na ambao ni urefu 5'10 na kuendelea!
Mimi ni mkimya na nina nyota ya kupendwa sana na wanawake wa rika tofauti! Na wananipenda kimapenzi zaidi! Ningekuwa kiwembe ningewala sana ila siko hivyo!
Ina ka ukweli flani ilinitokea
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba umpukuchue ..ametisha sanaa bidada
 
badooo sana hujawajua wanaume! kwa kutengeneza makundi haya tegemea kutengeneza makundi mengine zaidi ya mawili.
kwa kadri ya makundi yako hilo kundi la pili ni wanaume ambao wapo disparate na wanachotafuta ni raha kuhailisha changamoto zilizopo ndani mwao na wengi hawaoni hasara kukulipa kwa kuwa ulichotoa kwa muda huo hujui thamani yake kama wahajarogwa hawaoni hasara kukulipa kiasi hicho.
rafiki yangu mmoja alikuwa mwanza mjomba wake alipofika akitokea dar alimwambia nenda mabatini kanitafutie mwanamke alivofika kwa huyo mwanamke mwanamke akasema ataondokaje hana hela ya kuacha nyumbani, mjomba akasema mpe 50,000/- akawa hana ikabidi tax driver aitoe kisha wakaondoka naye.
wakaendelea na starehe asubuhi mwanamke akalipwa ujira wake wa 250,000/- akasepa.
dogo akapiga kelele mjomba unaonga sana akamwesabia akaona ametoa hela nyingi sana mjomba akacheka sana. akamuuliza wewe huna unaonga shilingi ngapi akasema haizidi 10,000/- akamuuliza ukitoa 10,000/- huwa unabaki na ngapi akasema naweza kuwa na 20,000/- nikampa 10,000 na chumba nimelipia 7000/- mjomba akamwambia mpwa wake mjomba unahonga unahonga sana.
sasa mimi nina zaidi ya milioni 70 kutoa laki tatu shida iko wapi na wewe unayeonga zaidi ya nusu ya fedha zako?
kwa kifupi wanaume hawaoni hasara kukuhonga ila kiukweli unayepata hasara ni wewe unayepotezewa muda kwa kuwa siku zijazo fedha hizo hazitakuwa na maana kwako utahitaji mume mwenye vision ambaye hukumtengeneza toka mwanzo kwa kuwa uliamini hana hela.
 
asiee tupo pamoja
Mimi nipo kundi moja, ndio tunazingua kwa sababu, unakuta mwanamke anakupenda hana mvuto. Na tunaongoza kupendwa na wanawake wasio na mvuto! Mpka kinyaa, Tunajuta kuzaliwa na sura za mama zetu
 
3
 
Leo umenifurahisha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…