Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

ukitaka kujua kama mwanamke yupo real na ww hasa hawa kausha damu ww nenda kwao bila taarifa kamchumbie awe mchumba wako
tena mwambie kabisa nataka nikuoe uwe mke wangu tuishi pamoja kwny shida na raha
hapo akikubali niite mbwa kasoro mkia.
Nilishawahi kumgusia hilo nikaona kaanza kuleta brah brah mara mimi bado kidogo kuna changamoto nataka nikumbane nazo ili akili ikomae nikaona hapa amna kitu akaniambia nipange vyumba sehem mbili ili kimoja akae yeye nikamwabia why tusiishi pamoja ili misilipe kodi sehem mbili akachomoa
 
Hello wanajf

Wanaume wengi siku hizi nimegundua tumekua wagumu wa kuweka effort kwenye mahusiano, hasa yakiwa mapya, namaanisha effort ya attention, pesa na juhudi, wanaume zamani tulikua tuko tayari kumsuburia mdada njiani masaa 3 huku tukiumwa na mbu na kumfukuzia miezi 8 hata miaka,, ili tu tupate nafasi ya kuongea naye, yakobo alifanya kazi miaka 14 kwa labani ili apate nafasi na alipie mahari ya kumuoa Rachel , ila siku hizi naona wanaume wengi tunawekeza effort ambayo ni ndogo sana kwenye mahusiano.

Mdada akiomba msaada wa kipesa, let's say ni kweli amekwama kipesa kama binadamu mwingine yeyote ambavyo angeweza kukwama, kwa wanaume wengi hata akitoa hiyo pesa atawaza mmh hapa natapeliwa.

Najiuliza sasa inakuaje unampenda mdada alafu akikuomba msaada, uhisi kwamba anataka kukupiga, wakati kama mtu umempenda, inatakiwa usiwe tayari kumwona mtu umpendae anapata shida yoyote, unakua unaamua kujitoa uwezavyo ili uweze mtoa kwenye hio shida.

Tangu lini kuombwa msaada wa kipesa na mdada, mara nyingi inaonekana na baadhi ya wanaume kuwa huo ni utapeli na fimbo ya kutupiga, na baadhi wanawake wanaona ni fimbo ya kupigia wanaume, wakati sometimes huenda ni kweli mtu anahitaji msaada huo, dunia sijui imekuaje.

Ref: ya screenshots toka kwa baadhi wanajf wa humu
View attachment 3227102
View attachment 3227103

Nimekumbuka maneno ya the late Kevin Samuels alisema kwenye dating world, winter is coming
Huyo mwanamke ana wazazi wake na usikute ana mabwana zaidi yako, ni dhambi kumpa mwanamke pesa.....inabidi ajitafutie yeye mwenyewe kwa kufanya kazi. Inawezekanaje mtu unamtongoza leo tu akawa na furaha kibao huku akijisifia kila aina ya sifa. Utashangaa kesho anaamka na matatizo kibao, yaani shida zake zote zinahamia kwako. Mlikutana jana na ukampa offer ila anakupigia simu kesho yake akisahau kuwa ulimlipia chakula jana na kukuambia hajala mwezi mzima, ana njaa ila njaa yake inatatuliwa na sahani ya biriyani tu ya kula watu 50 na soda kreti 4.
 
Acha tu mkuu yani siku ya kwanza tulivyokutana na madini aliyokuwa anatema utasema huyu ni mke kweli na kingine huwa aoni aibu kuomba hela halafu inaonekana hii michezo kashaizoea kwanza aogopi kwenda magetoni halafu anajisifu kwamba yeye aogopi mageto ya wanaume sababu anaweza kuja na usimfanye kitu halafu pia naona apendi kutoa mbususu coz wiki iliyopita nilimpeleka dynasty kule nikavunga kama kuuliza kama kuna room pande hizo nikaona kastuka sana na mara nyingi kwangu huwa anakuja pindi nywele zake zimefumuka nadhani ni hicho sana sana ndio huwa kinamleta gheto
Huyo pisi yako usiwekeze moyo hapo.. na huenda baadae utamkimbia

Na tabia hizo alizo nazo ukute anategemea umuoe, sometimes ukute ana hint kuwa anataka kuolewa na wewe, wengi wa hivyo wanaishia kukaa bila kuolewa half Wana end up kuwa frustrated na kujiuliza kwanini wanaume hawawaoi, watasingizia wamelogwa, jini mahaba, wanaume waongo, kumbe ni tabia zao zinawakimbiza potential husbands Melancholic
 
30k kubwa, 10,000 bao moja na elf 3 ya chumba unakula pisi standard.

Zamani nlikuwa nadhani wanaume wanaonunua wadada wanaojiuza barabarani ni wanaume flani hivi choka mbaya, siku nlienda chobiks nlishangaa wanaume wenye muonekano smart na yenye heshima wananunua maafisa utamu wanaosimama barabarani

Very sad life Fanton Mahal
Ahahahaha...
Kwan mimi mwenyewe ukioniona utaamini basi?
Sema mimi sinunui barabarani japo haiondoi tofauti.😂
 
Huyo pisi yako usiwekeze moyo hapo.. na huenda baadae utamkimbia

Na tabia hizo alizo nazo ukute anategemea umuoe, sometimes ukute ana hint kuwa anataka kuolewa na wewe, wengi wa hivyo wanaishia kukaa bila kuolewa half Wana end up kuwa frustrated na kujiuliza kwanini wanaume hawawaoi, watasingizia wamelogwa, jini mahaba, wanaume waongo, kumbe ni tabia zao zinawakimbiza potential husbands Melancholic
Sawa mkuu nimekuelewa
 
Huyu mwanamke anataka kutolewa out tu, kutoa mzigo Sio shida zake! Hela zangu sio kwaajili ya charity, Charity tuwaachie USAID.
Screenshot_20250207-074018_%2BMessage.jpg
 
Hello wanajf

Wanaume wengi siku hizi nimegundua tumekua wagumu wa kuweka effort kwenye mahusiano, hasa yakiwa mapya, namaanisha effort ya attention, pesa na juhudi, wanaume zamani tulikua tuko tayari kumsuburia mdada njiani masaa 3 huku tukiumwa na mbu na kumfukuzia miezi 8 hata miaka,, ili tu tupate nafasi ya kuongea naye, yakobo alifanya kazi miaka 14 kwa labani ili apate nafasi na alipie mahari ya kumuoa Rachel , ila siku hizi naona wanaume wengi tunawekeza effort ambayo ni ndogo sana kwenye mahusiano.

Mdada akiomba msaada wa kipesa, let's say ni kweli amekwama kipesa kama binadamu mwingine yeyote ambavyo angeweza kukwama, kwa wanaume wengi hata akitoa hiyo pesa atawaza mmh hapa natapeliwa.

Najiuliza sasa inakuaje unampenda mdada alafu akikuomba msaada, uhisi kwamba anataka kukupiga, wakati kama mtu umempenda, inatakiwa usiwe tayari kumwona mtu umpendae anapata shida yoyote, unakua unaamua kujitoa uwezavyo ili uweze mtoa kwenye hio shida.

Tangu lini kuombwa msaada wa kipesa na mdada, mara nyingi inaonekana na baadhi ya wanaume kuwa huo ni utapeli na fimbo ya kutupiga, na baadhi wanawake wanaona ni fimbo ya kupigia wanaume, wakati sometimes huenda ni kweli mtu anahitaji msaada huo, dunia sijui imekuaje.

Ref: ya screenshots toka kwa baadhi wanajf wa humu
View attachment 3227102
View attachment 3227103

Nimekumbuka maneno ya the late Kevin Samuels alisema kwenye dating world, winter is coming
Sina muda wa kubeba ufala , matatizo yako yatibu mwenyewe Sina muda mimi sio baba yako wala sio ndugu yako. Mahusiano hayana tafsiri ya kufanya mwanaume awe ATM, source of money au financial doctor

I have never seen anything in the bible that men are blessed with financial miracles
 
Kuomba haikatazwi ila kuombaomba ni tabia ya hovyo, siyo kwa mwaname tu hata kwa mwanaume ukiona mtu anaombaomba ujue hata malezi yake ni ya hovyo hana nidham, ukilelewa vizuri kabisa ni ngumu sana kuwa na tabia za kuombaomba.
 
hawa viumbe washafanya mapenzi kuwa machungu,imagine enzi hizo ukisikiliza nyimbo kama za westlife unazama kwenye hisia mujarabu lakini this time ukisikiliza unahisi kama ni kelele za nzi masikioni.
Verry sure mkuu now days mapenz ni machungu mno hizo hisia za hizo ngoma aziendani na hawa viumbe wasasa
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Back
Top Bottom