Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unaweza kuta Kwa huyo mzee mwenzako hupigi saana. Ukipata siku katoto Ka chuo unatembea nacho balaaaa
Yaani haya mambo bhana. Unaweza hisi nguvu za kike au za kiume zimeisha ila jaribu nje sasa... weuweeeeeeeeeeehhhhhhhhh
 
Mchawi ni natural consistent decline ya testosterone with age. Kuna wanaofanya testosterone replacement therapy wakifika 45+ na wanaendeleza libeneke kama kawaida. Hii therapy inabidi usimamiwe na daktari na ahakikishe una cardiovascular system ambayo haina mgogoro. Baada ya hapo ni kuzichakata tu mpaka huko 60+
 
Hicho kitunguu swaumu kinatumikaje
 
Mzeee hao wamasai wanadawa za asili.

Kwanza wanatairiwa alafu govi hawalikati lote
 
Haya maelezo ni umeshindwa tu kusema "kuchokana". Watu ambao hawajachokana ukiona tu uchi mashine inasimama na uke unaanza kutoa juice. Ila sasa mkishachokana hahahhahaha ni mwendo wa kuvuta hisia hadi kichwa kinauma.
 
Hicho kitunguu swaumu kinatumikaje
Tafuna punje tatu mbichi asubuhi na tatu jioni kabla hujalala. Faida yake hii inatanua mishipa ya damu na kushusha blood pressure. Matokeo yake baada ya muda kunakuwa na flow nzuri ya damu. Ukiongezea na maziwa, karanga mbichi, nazi, mihogo...na vimazoezi vyepesi kama push ups kadhaa, kuruka kamba hapa na pale na jogging unakuwa safi si katika sekta hiyo tu bali unaimarisha afya yako ya moyo, unashusha presha na afya nzima kwa ujumla. Pia epuka ulaji wa nyama nyekundu, vyakula vya mafuta mengi, pombe na sigara...na uwe na tabia ya kunywa maji mengi. Tiba kamili ng'wanawane!
 
Wali maharage kuna MDA vinakinaisha. Go West go east kuna MDA Ile law ya diminishing marginal utility lazima Ije [emoji1787][emoji1787]
Kwamba lazima ugonge wengi ndio uridhike sio?
 
Haya maelezo ni umeshindwa tu kusema "kuchokana". Watu ambao hawajachokana ukiona tu uchi mashine inasimama na uke unaanza kutoa juice. Ila sasa mkishachokana hahahhahaha ni mwendo wa kuvuta hisia hadi kichwa kinauma.
Ukiendekeza kuchoka, hutakaa na mwanamke. Sie ambao tunao kwa zaidi ya 35 years lazima ujitahidi usimchoke. Ni homework ya nguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…