anamzid smat?Ako gado kuliko hata hao wanojiita vijana💃💃💃🤸🤸🤸!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anamzid smat?Ako gado kuliko hata hao wanojiita vijana💃💃💃🤸🤸🤸!!
Afya babu afya hamna kingine muulise Koffi olomide jinsi anavyogonga vibinti mpaka kesiMchawi ni natural consistent decline ya testosterone with age. Kuna wanaofanya testosterone replacement therapy wakifika 45+ na wanaendeleza libeneke kama kawaida. Hii therapy inabidi usimamiwe na daktari na ahakikishe una cardiovascular system ambayo haina mgogoro. Baada ya hapo ni kuzichakata tu mpaka huko 60+
Unatafuna Kama karangaHicho kitunguu swaumu kinatumikaje
We achana nao kabisa mzee hii theory ya testosterone levels kushuka sijui Manini ni uongo tu watu wanambato fresh na uzee wao Kama kijana mbichi kabisaMzeee hao wamasai wanadawa za asili.
Kwanza wanatairiwa alafu govi hawalikati lote
Huyo atakuwa mgonjwaHiyo kitu inachosha sana. Kimoja tu mpaka siku 3
Jinsia ya KE at 60 hata angefanya mazoezi ya judo k inakaukaHii ni kwa jinsia zote ,tutunze afya zetu
Mkuu tupe hiyo elimu kujitunza kukoje ninini hasa ni kujipenda au ebu tupe hiyo faida ya namna ya kujitunza.Ni kweli Ila ukijitunza utaendelea kula hata baada ya 40
Hapo sawa 😂😂Wahindi na wachina.
Ule ugomvi mdogo mnajifanya mnatuletea tumikono twenu kupiga, nakukamata kwa nguvu kifuani huku nikikupa maneno matamu mwishowe kitu kinatafuta njia ya umangani. Ila hapo mi ndiyo mwenye kosa Dogo. Ukweli umri unachangia ukubwani mambo mengi hata ya kimaisha.Ugomvi nao unaletaga amsha amsha ila uwe ugomvi mdogo wa kuongeleka..... baadae ya hapo mkipiga make up sex ooohhh hallelujah
Hata mm nashangaa kwamba kuna huo usemi kuwa ukifika more than 40 nguvu inapungua.Sio kweli inategemea na maisha yako mwenyewe.Kama ulikuwa unakunywa sana pombe huko nyuma ngoma itafeli.Lakin kama upo sawa tu ,utapiga mwanamke mpaka achanganyikiwe.Inategemeana na mloo na lifestyle ya mtu Kuna mzee hapa kwetu ana 76 anambato mademu Kama mweu Ila nimmaasai yupo slim mrefu mweusi ana mbato hivi vi teenagers mpaka basi yupo fit Sana anasema yeye kila siku anapiga maziwa na kitunguu swaumu (2) kwanzia akiwa 30 Hadi Leo ni mshakiji wangu japo kanizidi 57 years sema ni mwana Sana kwaiyo hamna Cha umri Wala nn ni afya tu mzee [emoji1733]
Mama Edina njoo kwangu, niko zaidi ya 40 lakini kila gemu lazima nipige hattrick, na siyo ya haraka haraka kama Mbape.Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.
Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
afadhali leo umeanzisha uzi wa kuwananga akina vidume maana humu kila siku ni maneno kwa ke tu.Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.
Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
Kwani mnazuiliwa ?Ila ilitakiwa kila baada ya miaka mitano tubadilishe wapenzi bhana.
Ungemalizia basi, over 50 we play pool!Yeah, at 20's we play football, at 30's we play volleyball, at 40's we play tennis.
Lessonn: as we go old, the ball gets smaller. So hiyo ni kanuni muijue.