Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

Sex is a combination of many factors. Katika ujana before 40, majukumu ni machache na energy levels zinatofautiana.

After 40, focus inahamia kwenye kujenga sustainable future kwa familia hivyo sex inaplay role ndogo sana kwenye maisha ya mwanaume. Pia kuna wapendanao kuzoeana, hapa utashangaa huyo huyo mwanaume wa shot moja akikutana na mchepuko, anazunguka uwanja mara kibao.

So sex is more of a psychology than just attraction.
Exactly
 
Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.

Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
We una umri gani?
Tuanzie hapo kwanza😊
 

Uwajibikaji Kuwa Juu au chini inategemea Na mfumo wa maisha kulingana Na umri wako kawaida mwanadamu kila baada ya miaka saba kuna mabadiliko ya kiafya Na kibaiolojia yanatokea sasa kila mabadiliko yanatakiwa yaende Na mabadiliko ya mfumo wako wa maisha kuanzia mazoezi vyakula Na saikolojia kuna nukuu imeandikwa yatafuteni Maarifa maana Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa, chukua hatua hujachelewa!!!​

 
Sikiliza Mama Edina.
Ukiona mwanamke anayesogoa saloon na kujadili kuhusu mumewe, au waume fahamu kuwa bado ni teenager. Mwanamke kama mwanamke aliyepevuka kuakili hawezi mjadili mume.
Halafu wanaume siku hizi wanafikiria kuoa wakiwa na miaka kuanzia 35-40, na anaowoa wenyewe ni mabinti wenye miaka 25-30, genye ndo zinawaka, sasa utafanya mashindano nao kweli?
Halafu starehe ya sex siyo idadi kubwa ya magoli; bali ni kuandaana vyema na kufikishana kunako ili kila mmoja afurahi. Yaani magoli 4, 5 🙆 kama mnagombea tuzo. Huyo ni wako, wakati wowote mkitaka mnaitina mnapeana. Unamtolea macho utadhani pombe ya ofa!!?

Pole pole Mama Edina huyo ni wako, cha kumkondeshea nini utadhani umeazimishwa🤣🤣🤣🤣
Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.

Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
 
Sasa hadi anafika 40 ashakuzalisha mara 2, ushatanuka. Unajiweka kama mmama kisa umezaa. Uwezo wa kumbato unategemea na motivation kutoka upande wa pili. Hapo akikamata kitoto cha chuo ni mwendo wa hat trick dabo dabo. Ndo maana wanaume hatupaswi kuoa mke mmoja. Akichoka huyu unaongeza mwingine ni mwendo wa kumbato tu non stop😀
 
Ila kwa michepuko wanapiga hadi vinne
vinne mbona mateso, kimoja huwa kinatosha kabisa kama mna balance.. dk 20 -30 mnatulia fresh.. jumla iwe Lisa moja au moja na nusu Romance na makiss lisaa moja pipe nusu saa au dk 20 miili inafurahi kabisa.. mengine taaabu
 
uKitaka mbususu uichakate vizur inabid uwe unaipangia siku ya kuizagamua,sio kila siku unataka uipige lazima utaanza kupiga kimoko na kukoloma

Weka hata ratiba ya mara mbili kwa wiki,uone kama huichakati ipasavyo
😀😀😀 mkuu kama unalala mwanamke kila siku ni kimono tu, labda siku ikitokea mshinde unaweza piga vitatu.. asubuhi kimoko mchana kimoko na usiku kimono.. binafsi home ni mwendo wa kimoja tu na tumeishakuwa na chemistry nzuri
 
Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala.

Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena Nitakuwa Sina mume mwenzenu
Kwa hiyo Mama Edna mke wangu umenisema kwenye saluni ukaona haitoshi ukaja na Huku?
 
Back
Top Bottom