Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
 
Kuna uzinzi na upendo.

Uzinzi huongozwa na tamaa, upendo wa dhati huongozwa na hisia za ndani sana. Binafsi, kigezo changu cha kuoa au kuwa na mtu, sio uzuri au ubaya ya umbo na sura yake, ila ule msukumo nilio nao kutoka ndani kabisa ya moyo wangu.

Msukumo huo hupelekea mimi kuwa mvumilivu, mpole, mwenye kiasi, mkarimu, mnyenyekevu na mwenye kuheshimu.

Bila huo msukumo wa ndani ni uzinzi na umalaya.
 
Uwe na mwanamke mzuri halafu nisimtongoze [emoji3] haiwezekani
Na hawakatai siku hizi

"Upendo wa kweli upo ila mchawi pesa
Bila kwikwi bila presha shemeji analika tatizo lako wenge "[emoji445][emoji445]
Wanaume wengi wa siku hizi hawana pesa. Atakupa tu siku za mwanzo kisha anaacha. Wana majukumu mengi sana
 
Kuna uzinzi na upendo.
Uzinzi huongozwa na tamaa, upendo wa dhati huongozwa na hisia za ndani sana. Binafsi, kigezo changu cha kuoa au kuwa na mtu, sio uzuri au ubaya ya umbo na sura yake, ila ule msukumo nilio nao kutoka ndani kabisa ya moyo wangu.

Msukumo huo hupelekea mimi kuwa mvumilivu, mpole, mwenye kiasi, mkarimu, mnyenyekevu na mwenye kuheshimu.

Bila huo msukumo wa ndani ni uzinzi na umalaya
Tena nakuona siku hizi umekamatika kwa Mnyakyusa mwenzako
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura nanumbo baya lazima atakuendea sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Hii ni kweli japo wanawake wazuri wengi ujisikia mno, uona wao hawawezi kukosa mwanaume na wengi uwa wapo kimaslai Kwa kigezo Cha uzuri, wachache mno wenye uelewa wa upendo wa dhati na kutulia
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura nanumbo baya lazima atakuendea sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Nani anataka kuoa akina Fatma Karime pambaneni na Hali zenú.

Usifananishe wife materials na takataka Zingine

Nyie mtabaki michepuko Tu.
 
Kwann mtegemee wanaume
Sijawahi maishani mwangu. Kwetu nilifundishwa kufuma vitambaa na kufuga. Nilikuwa na fuma vita vya aina mbalimbali natembeza maofisini najisomesha.

Maofisini nilikuwa natembeza mayai ya kwale enzi zile na mayai ya kuku wa kienyeji. Wazazi wafundisheni binti zenu kujitegemea yangu wakiwa wadogo, itawasaidia
 
Back
Top Bottom