Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Sijawahi maishani mwangu. Kwetu nilifundishwa kufuma vitambaa na kufuga. Nilikuwa na fuma vita vya aina mbalimbali natembeza maofisini najisomesha.

Maofisini nilikuwa natembeza mayai ya kwale enzi zile na mayai ya kuku wa kienyeji. Wazazi wafundisheni binti zenu kujitegemea yangu wakiwa wadogo, itawasaidia
Wazazi wachache uwajengea msingi watoto
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura nanumbo baya lazima atakuendea sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Nani anataka kuoa akina Fatma Karume.

Pambaneni na Hali zenu. Usifananishe wife materials na takataka Zingine.

Nyie na ujuaji wenu mtabaki michepuko Tu.
 
Sijawahi maishani mwangu. Kwetu nilifundishwa kufuma vitambaa na kufuga. Nilikuwa na fuma vita vya aina mbalimbali natembeza maofisini najisomesha.

Maofisini nilikuwa natembeza mayai ya kwale enzi zile na mayai ya kuku wa kienyeji. Wazazi wafundisheni binti zenu kujitegemea yangu wakiwa wadogo, itawasaidia
Safi sana jamima
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Tatizo la hivyo "vitu vya kueleweka" ni kutaka kuwa juu ya mwanaume..!! Mwanamke mwenye hela kuliko mume, elimu kuliko mume na madaraka popote kuliko mume, huwezi mtuma chochote kama mume..!!! Wana tabia ya kuamini walivyonavyo vinawapa nguvu ya kutawala eneo husika..!! Kumkuta mwenye hivyo vyote and still akawa submissive kwa mumewe, ni very rare, wapo wachache sana..!! Hence uchache wao, unafanya probability ya kujua kuwa huyu ndiye mwenyewe inakuwa ndogo sana.
 
Nani anataka kuoa akina Fatma Karume.

Pambaneni na Hali zenu. Usifananishe wife materials na takataka Zingine.

Nyie na ujuaji wenu mtabaki michepuko Tu.
Mimi ni mke wa mtu, tena kwa ndoa ya kanisani. Ni mzuri na mrembo haswa, niko determined, nina exposure, shule ipo na hata leo mume wangu apatwe na lolote familia haita tetereka
 
Mimi ni mke wa mtu, tena kwa ndoa ya kanisani. Ni mzuri na mrembo haswa, niko determined, nina exposure, shule ipo na hata leo mume wangu apatwe na lolote familia haita tetereka
Hongera kwa hilo, lakini ujuwe kuna akina Fatma Karuma, kuna akina Joyce Kiria etc. Kuwajua hao wakati wa process za ndoa ni shughuri..!! Ukizingatia muda huo ku-pretend kunakuwa kwingi
 
Tatizo la hivyo "vitu vya kueleweka" ni kutaka kuwa juu ya mwanaume..!! Mwanamke mwenye hela kuliko mume, elimu kuliko mume na madaraka popote kuliko mume, huwezi mtuma chochote kama mume..!!! Wana tabia ya kuamini walivyonavyo vinawapa nguvu ya kutawala eneo husika..!! Kumkuta mwenye hivyo vyote and still akawa submissive kwa mumewe, ni very rare, wapo wachache sana..!! Hence uchache wao, unafanya probability ya kujua kuwa huyu ndiye mwenyewe inakuwa ndogo sana.
Mimi sijisifii, niko very much submissive kwa mume wangu. Nadhani na Kristo aliye ndani yangu ananiwezesha. Maana anasema, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari ili awakweze kwa wakati wake.

Kumbe ili nifanikiwe kazini ni lazima niwe mnyenyekevu kuanzia nyumbani hadi kazini.

Hii ndio siri ya mafanikio yangu
 
Huu mtego hatuingii 😂😂
 
Ndoa kwao ulinzi wa mahali pakufia.
Akishaipata anaendelea na aliye chaguo lake , atafanya vyote huko nke ila HUDUMA ya kwanzA na uangalizi Ni kwa muoaji( Mtumwa )
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Mkianza haya malalamiko mjue tayari mnakaribia menopause
 
Sipati picha unavyomuendesha maana unamuona kama ziada tu
Kwangu hatuongozwi kwa namna ya ulimwengu. Tunaongozwa na Roho wa Bwana.
Neno linasema Basi nasema enendeni kwa roho, maana hamtazishinda kamwe tamaa za mwili.

Mwili hutamani vingi vya ulimwengu huu, lakini kwa kuenenda kwa namna ya rohoni tunashinda vyote
 
Mimi sijisifii, niko very much submissive kwa mume wangu. Nadhani na Kristo aliye ndani yangu ananiwezesha. Maana anasema, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari ili awakweze kwa wakati wake.

Kumbe ili nifanikiwe kazini ni lazima niwe mnyenyekevu kuanzia nyumbani hadi kazini.

Hii ndio siri ya mafanikio yangu
if this is true, then mwamba anafaidi..!!! Hongera sana
 
Tatizo sio urembo bali yanayojengeka kutokana na huo urembo ndio tatizo….kuna vingi vya ku take into count mbali na huo urembo, cha kwanza amani… inatosha
 
Back
Top Bottom