Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Sifa na utukufu ni kwa Kristo Yesu anayeniwezesha.
Si kazi rahisi, shetani analeta kujiinua. Ninapogundua nimepandisha mabega, ninarudi kwenye toba, namuomba mume wangu msamaha, tena kwa magoti na machozi na kuumia kutoka ndani kabisa
 
Sijawahi maishani mwangu. Kwetu nilifundishwa kufuma vitambaa na kufuga. Nilikuwa na fuma vita vya aina mbalimbali natembeza maofisini najisomesha.

Maofisini nilikuwa natembeza mayai ya kwale enzi zile na mayai ya kuku wa kienyeji. Wazazi wafundisheni binti zenu kujitegemea yangu wakiwa wadogo, itawasaidia
Hongera sana mjasiriamali.
 
Amina.
Unawaambia nini wenye mitazamo ya haki sawa kwa wote kwenye ndoa?
Kwangu, ule mkutano wa beijing ulikosa maana pale wawezeshaji wakuu, ni wale ambao kama hawakuwa wameachika kwenye ndoa, basi ndoa zao zilikuwa taabani
Haki sawa ni mpango wa shetani. Bila kuwa na Yesu mtu wa ulimwengu huu habadiliki.
 
Kuna uzinzi na upendo.
Uzinzi huongozwa na tamaa, upendo wa dhati huongozwa na hisia za ndani sana. Binafsi, kigezo changu cha kuoa au kuwa na mtu, sio uzuri au ubaya ya umbo na sura yake, ila ule msukumo nilio nao kutoka ndani kabisa ya moyo wangu.

Msukumo huo hupelekea mimi kuwa mvumilivu, mpole, mwenye kiasi, mkarimu, mnyenyekevu na mwenye kuheshimu.

Bila huo msukumo wa ndani ni uzinzi na umalaya
Nakubali mzee mwenzangu
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Wanaume linapo kuja suala la kuoa huwa wanaangalia mambo mengine kabisa na sio kwa sababu mwanamke ana sura nzuri au mbaya.
Wanawake unao waita wazuri wameolewa tena wengi tu, ukiona hajaolewa ujue hana sifa za kuwa mke kutokana tabia mbovu na ukosefu wake wa akili na si kwasababu ya uzuri wake au ubaya wake.

Kama ww ni mzuri na umeolewa ujaolewa kwa sababu ya uzuri wako bali uleolewa kwa sababu ww una sifa za kuwa mke na una jielewa.

Na kama kuna mwanamke unaye muona ni mbaya na ameolewa hajaolewa kwa sababu ya ubaya wake bali ameolewa kwa sababu ana sifa ya kuitwa mke na anajielewa
 
hakuna mwanamke mbaya duniani,ndo maana kila mwanamke anaolewa,mbaya kwako mzuri kwa mwingine,aliumbiwa mtu wake...
ona kitu hiki

1673240976133.png
 
Wanaume linapo kuja suala la kuoa huwa wanaangalia mambo mengine kabisa na sio kwa sababu mwanamke ana sura nzuri au mbaya.
Wanawake unao waita wazuri wameolewa tena wengi tu, ukiona hajaolewa ujue hana sifa za kuwa mke kutokana tabia mbovu na ukosefu wake wa akili na si kwasababu ya uzuri wake au ubaya wake.

Kama ww ni mzuri na umeolewa ujaolewa kwa sababu ya uzuri wako bali uleolewa kwa sababu ww una sifa za kuwa mke na una jielewa.

Na kama kuna mwanamke unaye muona ni mbaya na ameolewa hajaolewa kwa sababu ya ubaya wake bali ameolewa kwa sababu ana sifa ya kuitwa mke na anajielewa
Vyema sana
 
Linapokuja Suala La Kuoa Wanaume Huwa Hatukosei.!! Wanaokosea ni wale Waliojulia Mapenzi Ukubwani.

Hatudanganyiki.!!.[emoji419][emoji375]
 
Back
Top Bottom