Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Wanaume wengi wanaamini wanawake wenye sura na maumbo mazuri hawafai kuolewa, ila wenye sura mbaya wanawatesa kwenye ndoa

Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Siyo tu hao hakuna aja ya kuoa kwa sasa kwakuwa hakuna mwanamke wa kuoa na maadili yamepotea mbali sana hakuna kabisa ndoa ni mateso tuu
 
Kuna uzinzi na upendo.
Uzinzi huongozwa na tamaa, upendo wa dhati huongozwa na hisia za ndani sana. Binafsi, kigezo changu cha kuoa au kuwa na mtu, sio uzuri au ubaya ya umbo na sura yake, ila ule msukumo nilio nao kutoka ndani kabisa ya moyo wangu.

Msukumo huo hupelekea mimi kuwa mvumilivu, mpole, mwenye kiasi, mkarimu, mnyenyekevu na mwenye kuheshimu.

Bila huo msukumo wa ndani ni uzinzi na umalaya
Kabisa
 
1673262753321.png

Art by artists To yeye
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.
When demand is higher what happened to supply. Yaani nikioe kila hatua unasimamishwa mie huyuhuyu,labda nikutongoze nikupige tu hakuna namna. Ikitokea ndani kidogo tatizo natishiwa ujue mie natongozwa na wengi.pia unapopata wengi mno kwako wewe binafsi unashindwa kuchambua chuya na ulezi so unashangaa umechezewa muda umeenda ama waliokuwa wanakupakia kwa BMW zao wameoa wa kawaida ama wabaya wa sura kuliko wewe. Ila bana asikuambie kitu mke kwangu Ni tabia sura tutavumiliana jamani na awe mjasiriamali wa kufa mtu basi
 
oeni vitu
Wenyewe mnajiita vitu acheni kwanza mtumiwe ,Mana value yenu Ni kubwa so mnakuwa na wide selections mwishowe unakosa hata mmoja.yaani Ile nimekaa na wewe simu yako unapigiwa Mara kwa Mara jamani ama unatafutwa mno nakuacha fasta.


Wapo wanaotafuta na wanaotafuta so it's up to me niangalie wapi
 
Tatizo la hivyo "vitu vya kueleweka" ni kutaka kuwa juu ya mwanaume..!! Mwanamke mwenye hela kuliko mume, elimu kuliko mume na madaraka popote kuliko mume, huwezi mtuma chochote kama mume..!!! Wana tabia ya kuamini walivyonavyo vinawapa nguvu ya kutawala eneo husika..!! Kumkuta mwenye hivyo vyote and still akawa submissive kwa mumewe, ni very rare, wapo wachache sana..!! Hence uchache wao, unafanya probability ya kujua kuwa huyu ndiye mwenyewe inakuwa ndogo sana.
mwanamke wa hivyo umkute ni under dog kwa mume wake,labda awe amepungukiwa na akili...
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Sijui ulitumia kigezo gani kumjudge kuwa hao walioolewa ni wakawaida na wanaume huacha kuwaoa hao warembo wavigezo vyako. Shika na elewa logic ya mwanaume na mwanamke ni tofauti kabisa na uzuri upo machoni pamwonaji. Ukianza kuelekea uko utakapo, utakuwa unatafuta kuwakweza watu. Kila mtu anamapito yake ndani ya ndoa, pia usitumie logic ya mwanamke kwamba ni vema kulia ndani ya V8 au Lamborghini kuliko kulia ukiwa kwenye guta, huyo ni mwanamke sio mwanaume. Urembo huvutia na kuleta matamanio ila I tell you in less than 5 days in bed mvuto wa mwanamke huisha machoni pamwanaume kinachobaki ni upendo kama kweli ulimpenda lasivyo utamuona kama mwanamke yeyote yule.
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Kuna threads zina anzishwaga na wanaume humu kuhusu wanawake mafeminist/wasomi/pisi kali wengi wao hawafai kuolewa,huwaga mnaponda na kuwaita waongo,wanaogopa type hizo za wanawake nk.

Kumbe ni kweli na uzuri umesema ww mwanamke mwenzao.
 
Wanaume wengi wanaamini mwanamke msomi, mwenye kipato, sura nzuri, umbo zuri na exposure hafai kuolewa.

Wanaoa wanawake wenye sura na maumbo ya kawaida sana, lakini baada ya muda fulani huanza kulalamika mke wangu ananitesa.

Mke mwenye sura na umbo baya lazima atakuendesha sana kwa waganga sababu ana insecurity problem, huko nje wamejaa wanawake wazuri wa kila aina.

Ndugu zangu wanaume badilikeni, oeni vitu vya kueleweka, ndoa sio kitu rahisi kwa namna yoyote.
Mmemuelewa????
 
Back
Top Bottom