Wanaume wengi wanatendwa na michepuko kuwaharibia ndoa zao, tuwasaidie

Wanaume wengi wanatendwa na michepuko kuwaharibia ndoa zao, tuwasaidie

Ma Mshuza

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2019
Posts
207
Reaction score
1,122
Nguvu za kiume ni janga. Tena wengi unakuta ni waliooa ambao pia walikuwa viwembe sana. Nina mashoga zangu watatu wamekuwa wakilalamika sasa juu ya waume zao kukosa nguvu kabisa

Mpaka naanza waza au michepuko kuna dawa wamegundua wanawawekea waume wa watu wakirudi kwao jogoo asiwike? Kwanini sasa iwe ndiyo jambo ambalo limetaradadi kila nyumba?

Tukisema vyakula mbona ulaji hauna tofauti sana na miaka 10 iliyopita? Naanza kuhisi kuwa kuna shida.

Shoga yangu mmoja yeye aliniletea kesi ya tofauti. Yeye ni mlokole sana ukiacha sisi Majimatitu. Yeye anasema mumewe alikuwa anachapa sana nje na hivi ana uwezo basi alikuwa anawapanga tu.

Basi anasema akaanza mfanyia maombi na kufunga. Kuwa akienda nje jogoo asiwike. Haukupita mwezi mume akaanza kuwa anawahi kurudi home. Safari za ghafla ghafla hamna na game anaomba ndani mpaka machozi yanakaribia kumtoka. Wakati alikuwa anamaliza miezi mpaka 3 hajamgusa mkewe.

Anasema kwa sasa mume ametulia na kuna siku aliropoka kuwa "sijui naumwa nini nje mashine wala haisimami", kumuuliza unapiga nje? Akajibu hapana namaanisha siku hizi hata sitamani nje.

Wajameni, huko nje michepuko kuna dawa mwatumia kuharibu ndoa za wenzenu? Mimi kilio cha vibamia sina, mashine zetu wengine ndogo bado zipo intact. Kilio cha wanawake wengi kwa sisi wengine ni kukosekana nguvu za kiume kwa wanaume, hamsimamishi kabisa.
 
Uchawi upo, kila mwanamke anapenda kumiliki, so dume likizingua linapigwa hand brake, kazi hamna tofauti na kwa huyo huyo tu
 
Nguvu za kiume... Ni janga. Tena wengi unakuta ni waliooa ambao pia walikuwa viwembe sana. Nina mashoga zangu watatu wamekuwa wakilalamika sasa juu ya waume zao kukosa nguvu kabisa
niliwahi kuwa ktk team ya utafiti wa masuala yanayohusu mila,tamaduni na desturi za watz.

tulitembelea waganga kadhaa wa jadi ili kuwahoji.

walituambia wateja wao wakubwa ni nyinyi wanawake na kipaombele na kinachowapeleka kwa hao waganga wa jadi ni suala mahusiano.

huyu anataka kumdhibiti mume....yule anataka shoga yake aachike aolewe yeye....huyu anataka danga lake mda wote liwe linamfikiria yeye....yule anataka fulani fulani waachane wakose wote....yaan wanawake ni full kurogana.
 
niliwahi kuwa ktk team ya utafiti wa masuala yanayohusu mila,tamaduni na desturi za watz.

tulitembelea waganga kadhaa wa jadi ili kuwahoji.

walituambia wateja wao wakubwa ni nyinyi wanawake na kipaombele na kinachowapeleka kwa hao waganga wa jadi ni suala mahusiano.

huyu anataka kumdhibiti mume....yule anataka shoga yake aachike aolewe yeye....huyu anataka danga lake mda wote liwe linamfikiria yeye....yule anataka fulani fulani waachane wakose wote....yaan wanawake ni full kurogana.
Kuna shida...ndo maana wanaume wa siku hizi ni kama mazombie tu...
 
Sasa ukishajiona sehemu flani upo vizuri kwingine unapuyanga Wewe mwenyewe si unajua kuna shida, na ww hangaika uwe sawa kulialia hakusaidii, wanawake hawajawahi kuwa na huruma na mwanaume, wapo hapo kwa kuwa wanajua kuna mambo yao yanaenda kupitia ww
 
Wanawake wengi mlioko kwenye ndoa mna magubu na visirani, wabinafsi na hamtutakii mema sisi waume zenu mnapenda ligi. Nguvu za uume zinatoka wapi. Mnaonekana kama midubwasha fulani hivi
 
Back
Top Bottom