Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

Habari yako, ashakum sio matusi, kumanyioko zako, Ahsante
 
Umeoa Malaya.
Ndoa Ndoano
#KATAANDOA
 
Wanawake wengi tunalipiza kisasi hiyo ni kawaida. Tatizo la huyo wako anafanya kizembezembe.
Huwa tunalipiza kisasi na usijue kama umelipiziwa kisasi, moyo ukishatulia maisha yanasonga.
Raha yakulipiza kisasi ,unaemulipizia ajue hapo ndio moyo wako utatulia,sasa nyie mnalipiza halafu waume zenu hawajui kinachoendelea hyo ni cheating yakawaida naukikamatwa hyo nihabari nyingine kutegemea na aina ya mwanaume wako..kwa mantiki hyo mtoa mada yuko sahihi kua mkewe anamoyo wakulipa kisasi!!kwa sababu amemfanya ajue aidha anachati nawanaume wengine mbele ya mmewe akiulizwa anajibu kiroho safi yakua mbona ww unachati nawanawake wengine,??!!kwahyo humo ndani nimashindano au kuna battle linaendelea au kuna league ya NBC....na kwa walipofikia nidhahiri shahiri kifuatacho ITV nikuuana au kugawana majengo.
 
Ajue ama asijue cheating ilo pale pale. Na wakatti huo inafanyika habari za kushikwa hazipo akilini au zinakuwepo lkn akili ndo ishaamua haijali tena.

Huko kushindana kama. Ligi ya NBC ndo tunamshangaa mwenzetu..huwa haipo hivyo. Nia ni kupunguza machungu ya moyo na si mashindano.
 
Hii situation ni hatari sana kwa ambao hawajai kuishi hivi hawawezi elewa umekaa na mtoto wa mtu 8 years umemdhalisha then anakuletea mauza uza ukitaka kumuacha lzm ujipange kisaikolojia la sivyo ni zoezi gumu sana sana..
Watu wanachukulia simple kama kutema big-G,eti muache mara moja ,,,process zakuachana sio rqhisi wakumbuke kuna mazoea uliyokua nayo dhidi yake in fact kuna mema flani ndani yake ambayo hua unayafaidi ambayo ndio yanazidi kuongeza uzito ku-apart away kila mmojawapo..funga kazi wanamtoto mdogo.analelewaje???!!!
 
Pole kuna jamaa namjua anapitia hili tofauti na yako ni kuwa jamaa hajashtuka mke wake analiwa mzigo, Ndoa ni changamoto Muombe kwa Mungu mpate watu sahihi, kwakua hamjafunga ndoa mimi ningekushauri umpige chini, kwasababu unakojoleaje sehemu ambayo wanakojolea wrngine hiyo sio private property tena sasa ni public hana tofauti na malaya bora ununue kuliko kuweka hisia kwa mtu asiyestahili hisia! Ngoja nimalizie usingizi 😴
 
Bwana wewe mwanamke/mke kutombwer sio kitu cha kumaind mzeya...kwanza mbususu hainaga makombo. Acha ufala wee banana nae tuu maisha yaende.
Unaachaje mke eti kisa kagegedwa na mwanaume mwengine? Wanawake wote wanagegedwa nje ya ndoa sasa wewe usijifange special one kwamba wako asigegedwe
 
Huyo ni malaya wala sio tabia za visasi kifupi huna command wala sauti kwa huyo unaesema ni mkeo
 
Mkuu,nilikua najaribu kutofautisha kati ya kucheat kwa kawaidanakulipa kisasi,,sifa ya kulipa kisasi nimtu huyo ajue yakua umemlipishia kutokana na aliyoyafanya...hapo hata roho yako inatulia nakujiandaa kwa ajili ya mapigo mengine endapo atajaribu kuendelea natabia yake au kukulipishia ..mutoa mada anaelezea waziwazi tabia yamkewe ya kulipizackisasi nahuyu jama analijua hilo fika...ingekua nicheating yakawaida huenda mmwamba akili kijiko asingeleta uzi huu kwasabbau ingekua nicheating yakawaidanamaamuzi yangetegemea na aina ya mwanaume kama angekamatwa kwa kucheat.
 
Nimekuelewa vyema.
Ila akili nyingi za kike tunalipiza na mwenye kulipiziwa anakuwa hajui. Ni ile tu kuona ushalipiza, akijua basi ni bahati mbaya.
Wenyewe tunaita kulipiza kisasi hivyo hivyo hata kama mlengwa hana habari.
 
Huyo anaweza gawa hicho kwa masela ili akukomoe tu
 
Kwamba hujui huyo dada ni malaya? Inafikirisha sana mwanaume rijali na timamu wa akili unachitiwa wazi twice-thrice na bado upo upo tu, inafikirisha sana.

Wanaume we hivi ni dhaifu na hawajitambui, sawa Ke wana tabia ya kulipa visasi, lakini analipa kisasi wazi? Na wewe upo upo tu unapigia wagoni wako simu kubembelezana nao?

Mkuu, unapoteza manhood yako kizembe sana. Hivi katika scenarios hizo kuna hata moja ulimuwasha kofi?
 
Hata kama mapenzi hayashauriwi me nakushauri huna MKE hapo una HAMAS AU HEZBOLAAH na kinachokutatiza kugawana vitanda na makabati tu hapo kwa kifupi muache shida utaiona mwanzo tu ila mbeleni utajuta ulichelewa wapi kumuacha sio mwanamke huyo ni Janjaweed huyo kumbaf zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…