Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

Nimeshindwa hata kumaliza kusoma ila wewe ni BWEGE MTOZEN PRO MAX...
 
Hahaha wewe Mkuu utakua mwanaume wa ajabu sana Yani unakimbia Nyumba kwa sabab ya mwanamke? Hahaha Alfu Kingine Kipindi hicho unakaa nje mbona utamkuta vyombo vyote vimeuzwa!!
Kwa hii hapana aisee... Unaweza geuziwa ww
 
Hakuomba msamaha umsamehe au hamkuyamaliza
 
Pole sana mkuu kwa changamoto hiyo. Niliwahi kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye alipenda sana visasi. Yaani hata ukipulizia body spray ikamfanya akohoe, jua naye atafanya hivyo wkt mwingine. Na ukilalamika, atakukumbusha kuwa wewe ulimfanyia hivyo siku fulani.

Kama bado unataka kuwa na mahusiano naye, basi anza wewe kubadilika. Inaonekana unaendekeza chats na wanawake kadhaa na mtu wako hapendi.

Kama hutaki kuendelea naye, fanya maamuzi magumu. Huyo wangu nilikaa naye na nikamwambia inatosha. Kila mtu ashike njia yake. Hiyo ni baada ya kuniambuliza gono twice. Kwa kasi aliyonayo mwenzio, mtaambukizana AIDS siku si nyingi.
 
Kuna kidada kitaratibu afu kipole haswa,nilishangaa siku Moja kuniambia kuwa nacho kilishawah kulipiza

Bwana Ake alikuwa na tabia ya kumtoroka usiku na kwenda kuchepuka
 
Mke wang nae ana wivu sana uliopitiliza tena wa kijinga nae huwa ana akili hii ya kulipiza na mim nilishamwambia akitaka alipize tu,

Kutokana na wivu wake nilishataman na kujaribu kumuacha lakin ilishindikana nikitaka kumuacha analia sana, Ila naamin siku moja atakujaga kuniua au kunidhuru,maana siku moja alitaka kujiua ilivyoshindikana akaapa kuwa safar nyingine hatajidhuru yeye bali atanimaliza Mim

Nakushaur usiachane nae we mvumilie tu,Ila na usiogope kuchepuka,mwache tu Kama analipiza alipize tu,yaan mwanaume unakulaje mwanamke mmoja mwaka mzima
 
Hakuomba msamaha umsamehe au hamkuyamaliza
Hapana aisee mkuu tulikuwa tumefika nae Mbali na nilikuwa nimeishaamua kuoa kabisa sababu pia hata umri ulikuwa umesogea. Alipigana chini na jamaa yake, japo amekuja kuwa rafiki yangu mkubwa tu hadi sasa. Ni mtu aliyetambua baadae alifanya makosa, mahusiano yaliisha kabisa, ila ni mtu anayeweza kuniita kunywa kinywaji.
 
Fanya kuachana na huyo adui unaye muita mke wako, lasi hivyo ukicheza mwanao ataitwa yatima.

Akili kichwani kwako
 
Maisha mafupi kukaa na stress ambazo zinaonekana hazitokua na mwisho... piga chini huyo mama lea mwanao
 
Mi nawaza tu...pale katoto kenye geti Kali kaliwezaje kulala kwako.....kana bleed...ukakanunulia na pedi...ukaweka na kindege kwenye cm..

Mkuu wewe ni kiazi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…