Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

Hii situation ni hatari sana kwa ambao hawajai kuishi hivi hawawezi elewa umekaa na mtoto wa mtu 8 years umemdhalisha then anakuletea mauza uza ukitaka kumuacha lzm ujipange kisaikolojia la sivyo ni zoezi gumu sana sana..
Kama ulimfundisha wewe kucheat ndio litakuwa zoezi gumu kama unavyosema maana nafsi itakuwa inakusuta.
 
Hivi kweli unaamini huyo mwanamke anampenda huyo boya? Kama ndio basi Kwa hakika Mimi sijui mapenzi
 
Hao wageni wa kuchepuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Warudi mkoleni, ukiwa unachepuka mume anatakiwa apewe mahaba mpk ajihisi yeye kashikilia uhai wako kumbe nyuma unaling’onga kisogo.
Hehehee......mimi ntakujua tu
 
Mke wa mtu anachart na marafiki wa kiume?tena sio labda marafiki wa utotoni/shuleni?hapana ni marafiki ambao kaombwa namba hivi karibuni katoa?
ushauri wangu kwako AKILI KIJIKO huyo mkeo kampime kipenyo au diameter ya kijambio chake,wahuni sio watu.
UKIPATA JIBU VINAPITA VIDOLE VINGAPI?LETE MAJIBU NITAKUPA FORMULA UJUE ANA MIAKA MINGAPI ANASAFISHWA MTARO.
 
Hivi kweli we ni mwanaume unayejitambua?

WE UNATAWALIWA na ukita ujikoroge zaidi funga ndoa kimya kimya wazazi pande zote wasijue!

Mara mbili anakucheat unasamehe mbaya zaidi we hujawahi onja nje hata mara 1 huoni keshajua udhaifu ulipo?

Na nikuhakikishie kesho hujui utamkwaza vp atarudia kukupiga tukio si anajua humfanyi kitu!

Angalia karibu ni wapi kati ya mlipotoka au mnapokwenda ili ukimbilie sehem mojawapo!

Kuna mambo yanafanyika kwa kuakusi jinsi ulivyo!

I like your user name! [emoji16]
 
Ushauli mzur sana aufanyie kazi utamsaidia huu sana
 
Kati ya kosa mwanaume anaweza kulijutia kufanya ni kurudiana na mwanamke aliyecheat na kamwe mwanamke haachi njia pekee ya kukabili hili ni kuachana nae kabisa!
 

Attachments

  • IMG_1040.jpeg
    52.5 KB · Views: 11
Unaijua hadithi ya "Heri Mimi sijasema"?
Unasema asitoe Siri huku na wewe unatoa Siri wakati wa kumkanya.
 

Mwanamke akikusamehe jua anakutafutia nafasi. Lazima akulipe.
Ndio maana wengine ukitufumania tunaachana. Na nikikufumania tunaachana.
 
KWA HIVYO VISASI BADO UNAMSHAURI AOE MKE WA PILI KWELI??? SI ITAKUWA KILA AKIENDA KULALA KWA MKE MDOGO HUKU ANACHEPUKA KULIPA KISASI CHA JAMAA KUMLA MKE MDOGO???
 
Aliyesoma yote mpaka mwisho anipe mukhtasari, maana niliacha kuendelea kusoma hapo jamaa aliposema alimsamehe mke kwa mara ya pili baada ya yeye mke kuliwa nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…