Jabari XVI
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,075
- 1,466
Daaah yani nitoke mishipa ya shingo kabisa kucharuana na mtu nisiyemjua, aisee bora nikakae zangu barabani nikaangalie madem wazuri wanavyokatiza mitaa na tight jeans zao zinawashika kuanzia juu mpaka chini au niwaone wale wanaovaa mini-skirts nione michirizi ya utamu nyuma ya magotiWapi hawajuani mkuu? wa mtaani mbona wanajuana kabisa. Ambao hawajuani labda wa mitandaoni.
Kwa mitandaoni kugombana na mtu ambaye haumjui zaidi ya kumwona mtandaoni ndio mbaya zaidi.
Kheee, ni hapa hapa Jamhuri ya Jamii Forums au.!Inawaumaga hiyo π€£π€£π€£
Kuna siku waliniundia tume wakamleta mtu anitukane nimjibu wanireport! Yani humu kuna majinga mengi.
Na yule uliokuwa una amka da siku ile ndio michezo yake ni admin wa group Lao la mafichoni π€£
Zitakuwa pm jukwaani ndo pa kutolea machungu π€£π€£π€£πππJf wako chonjo zitatembezwa ban jukwaa zima mods wapo makini sana
AsanteZitakuwa pm jukwaani ndo pa kutolea machungu π€£π€£π€£
Wasubiri subiri maana hii wiki tuko bize ka weekend kamenoga haka ukifanya gigy, mara gekul, mara mdogo wake, kule manara pale amber lulu basi tafrani,Zitakuwa pm jukwaani ndo pa kutolea machungu π€£π€£π€£
Nchi haipoi πππWasubiri subiri maana hii wiki tuko bize ka weekend kamenoga haka ukifanya gigy, mara gekul, mara mdogo wake, kule manara pale amber lulu basi tafrani,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo wamejaa humu mbona
Inategemea na aina ya ugomviππππ Kwahiyo mimi nikigombana hunisaidii? Tabia mbaya hiyo
πππJamaa noma sanaCountrywide bae umeona mwenzio anamsaidia wife wake kufikisha salamu π€£π€£π€£π€£
Hili ni gubu la kutofikishwa kileleni[emoji23][emoji23]Kingine ni kwamba wanaume wengi siku hizi ndo wanaongoza kwa umbea. Sijui ni kuchoka kuwa wanaume wanatamani wawe wanawake au ni nini.
Mwanaume kuwa mbea mbea pia haipendezi kabisa. Unakuta mwanaume na yeye hataki kupitwa na jambo. Ana maumbea kama yote na anaona ni sawa.
Napima na aina ya ugomvi, nikiona unadhalilishwa basi ntasimama naweπKantry umeona mwenzio anavyopambania kipozeo chake π€£π€£π€£
Countrywide
π€£π€£π€£π€£ mbona mwenzio Saco hachaguiInategemea na aina ya ugomviπ
Katisha eti kapeleka salamu kha! π€£π€£π€£πππJamaa noma sana
ππππ tabia mbaya hiyoNapima na aina ya ugomvi, nikiona unadhalilishwa basi ntasimama naweπ
Bwege wa wapi huyo mwanaume!???Duuh nooooma.Za weekend?
Hivi mwanaume timamu kabisa mke wako kagombana huko na wanawake wenzake halafu wewe unaenda kuingilia ugomvi na kuanza kusutana na wanawake?
Kwanza mwanaume unatoa wapi ujasiri wa kurushiana maneno na mtoto wa kike? Mpenzi wako akiudhiwa huko na marafiki zake wewe msaada unaoweza kumpatia ni kwenda na wewe kusutana?
Hapo ndio unaonesha Manhood yako? Ndio mkitoka hapo akuambie "safi sana mpenzi wangu umewasuta mpaka wamekoma"? Ndio sifa mnazoziona za maana siku hizi?
Leo nimepita mahali nikakuta kuna ugomvi wa watu wanatoleana maneno(kusutana). Mnaweza mkafikiri ni wanawake eh? HAPANA! ni mwanaume tena mume wa mtu kaenda kumsaidia mke wake kusutana na Bi dada mmoja ambaye anauza duka hapo.
Karibia kila mtu aliyekuwa anashuhudia lile alisikitika sana na kuona aibu kwa ile misuto mwanaume tena mume wa mtu aliyokuwa anaitoa.
Wanaume wenye hizi tabia badilikeni mnakera na kuaibisha sana. Tafuteni hela mpenzi wako akigombana huko mnaenda police na sio unaenda kumsaidia kusutana.
Acheni kujitoa uwanaume wenu kwa vitu vya ajabu. Wanawake kwa wanawake kugombana ni kawaida ila kisicho kawaida ni mwanaume kuingilia ugomvi na kusutana.
Mwanaume unayesutana na mwanamke au hata kutupia maneno wanaume wenzako unajishusha sana. Unadhalilisha nguvu ya manhood iliyowekwa ndani yako. Mwanaume pesa maneno maneno tuachieni sisi wanawake.
Lazima upime kwanza bana, Sasa wamevaa videra wanasutana na ww utaingia Kati kweli ππππ€£π€£π€£π€£ mbona mwenzio Saco hachagui
π₯°π₯°π₯°π₯° Nisaidie mwayego Kantry wa kwangu mimi peke yanguπLazima upime kwanza bana, Sasa wamevaa videra wanasutana na ww utaingia Kati kweli πππ
Ila nikiona unaporomoshewa matusi hata kama ni mwanamke sitavumilia nitatake action sio kumpiga bali kumuwajibisha kwa mkono wa sheria(defamation)
Kama ni mtandaoni kama humu na fake id basi nitapambana nae
Ila ukiwa na mwanaume mbea au anakusaidia kusutana Raha nyie,kabla hamjalala mnakulana halafu mnakula ubuyuuuuuuu Hadi mnasinziaπ€£π€£π€£ππ mwanaume ana habari ambazo hata we huna!!
Shem kama shem!tena ni kuwafunga bila file kabisa wanaochezea laaziz wakoπ€£π€£π€£@lamomy kama nakuona unavyoturingiaLazima upime kwanza bana, Sasa wamevaa videra wanasutana na ww utaingia Kati kweli πππ
Ila nikiona unaporomoshewa matus kama ni mwanamke sitavumilia nitatake action sio kumpiga bali kumuwajibisha kwa mkono wa sheria(defamation)
Kama ni mtandaoni kama humu na fake id basi nitapambana nae