Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Ni hivi madam kutokana na vipimo alivyofanya kulikuwa kama kuna siku nne au tano mbele kwahiyo hatukuwa na hofu yoyote ile,ila dogo tu ujuaji mwingi akaanza kutaka kuja duniani mapema,,hata hivyo baada ya kumpeleka hospitali alikuja kujifungua kesho yake alfajirhujifungua kwa opereshen alafu mnasubiria mpaka uchungu umkamate hebu muwe mnajiongeza