sawasawa sawa piga mazoezi
kasema wapi ukifanya mazoezi hufi?fanya mazoezi ufe kwa malaria... haikikwepeki kifo kipo pale pale
ndio maana sikuizi wote tunasingiziwa ati hatuna pumzi na haatuwezi tena kusimamia ncha za vidole mahali flani kama zamani 🐒Niajee wakuu,
Mazoezi ni muhimu sana.
Shauri yenu!!!
Mwanaume ata kupiga push ups 10 huwezi, kukimbia nayo huwezi,ata kutembea mdogo mdogo km ½ nayo huwezi.
Achaneni na chips yai wazee pigeni tiz(mazoezi ya viungo).
Hivyo vitambi na big ass waachieni wake zenu.
Mazoezi kwa afya bora.
Upo sahihi sana mkuu...kuangalia sana porn na kuwaza sana ngono ni matokeo yanayosababishwa sana na kutofanya mazoeziNiajee wakuu,
Mazoezi ni muhimu sana.
Shauri yenu!!!
Mwanaume ata kupiga push ups 10 huwezi, kukimbia nayo huwezi,ata kutembea mdogo mdogo km ½ nayo huwezi.
Achaneni na chips yai wazee pigeni tiz(mazoezi ya viungo).
Hivyo vitambi na big ass waachieni wake zenu.
Mazoezi kwa afya bora.
Mimi sio baunsa wa bar.Sawasawa,,piga tiz