Wanaume wenzangu fanyeni mazoezi acheni kula chips yai

We unapata wapi ujasiri wa kupangia watu maisha? Janabi atupelekeshe na wewe nae utusumbue, aaaghhhh
 
Watu wanajibana sana sijui wanataka kuanza kuishi lini wakifurahia maisha. Misosi hawatupilii, maji wanakunywa kwa kujibana na bia mbili nazo hawazitaki, mwishowe wanaona maisha magumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…