Naaam Madame!
Mambo? Nime ku-miss tuNaaam Madame!
Naam nipo salama maeneo ya Kisarawe.Thank you. Ni furaha yangu kwamba Hidaya hajakubeba.
Wewe haijakukuta lakini kwa maelezo yako unaonekana una hiyo fear ndo maana unaogopa kutongoza.Mwanaume heshima yake haishuki kwa kupigwa cha mbavu unaweza kukataliwa na dem wa kawaida na ukaja kukubaliwa na dem mkali zaidi,hauwezi kudhalilika sababu ya dem kuwahadithia wenzake.Mwanaume lazima utongoze ndo uanaume wenyewe.All in all nakushauri usidate kazini,madem wa oficn wachukulie kama dada zako au washkaji utaishi kwa raha sana.Habarini,
Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha ndoano, mbaya zaidi kimoyomoyo unamchukulia serious, kipindi chote ulichokaa nae hapo ofisini, kwa tabia zake unaona huyu akinikubalia tukiendana, anafaa kuoa, unamtongoza halafu anakukataa.
Ukute na hapo ofisini ana marafiki zake wengine wa kike, obviously ukimtongoza akikukataa, kwenye story zao atawaambia rafiki zake wa kike kuwa flani alimtongoza akakataa, hivyo CV/status yako kwa ujumla kwenye hiyo kampuni/mbele ya co-workers inashuka.
Mbaya zaidi unakuwa unaonana nae kila siku, heri angekuwa wa mtaani ukimtongoza akikataa unabadili njia ya kupita, sasa unamuona everyday, mara paap siku zinaenda unaona ameletewa posa, kaolewa, mara kapata ujauzito, na wewe uko hapo hapo. Sipatii picha hiyo awkwardness
How does it feel as a man, that pain, that embarrassment, all that effort uliyoweka, all that respect is flushed down the toilet. Unabaki unacheka usoni, moyoni umejaa maumivu na aibu
Hii scenario mimi binafsi haijanikuta in real life, ila najaribu tu ku-imagine.
Huu uzi bila comment ya Extrovert hautanoga
Sisi wanawake kwenye kikao chetu tulichokifanya tarehe 25 December...Habarini,
Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha ndoano, mbaya zaidi kimoyomoyo unamchukulia serious, kipindi chote ulichokaa nae hapo ofisini, kwa tabia zake unaona huyu akinikubalia tukiendana, anafaa kuoa, unamtongoza halafu anakukataa.
Ukute na hapo ofisini ana marafiki zake wengine wa kike, obviously ukimtongoza akikukataa, kwenye story zao atawaambia rafiki zake wa kike kuwa flani alimtongoza akakataa, hivyo CV/status yako kwa ujumla kwenye hiyo kampuni/mbele ya co-workers inashuka.
Mbaya zaidi unakuwa unaonana nae kila siku, heri angekuwa wa mtaani ukimtongoza akikataa unabadili njia ya kupita, sasa unamuona everyday, mara paap siku zinaenda unaona ameletewa posa, kaolewa, mara kapata ujauzito, na wewe uko hapo hapo. Sipatii picha hiyo awkwardness
How does it feel as a man, that pain, that embarrassment, all that effort uliyoweka, all that respect is flushed down the toilet. Unabaki unacheka usoni, moyoni umejaa maumivu na aibu
Hii scenario mimi binafsi haijanikuta in real life, ila najaribu tu ku-imagine.
Huu uzi bila comment ya Extrovert hautanoga
Sawa kabisa unapoomba kitu kuna mawili upate au aukose... tatizo watu wana complicate sana maisha.. Na kama unateseka kwanini uliamua kutongoza mtu wa ofisini kwako? Ndio maana wanashauri kuacha kutafuta mapenzi ofisini, huwa yanaishia kukuletea udwanzi tu.
Kikanuni hautakiwi kutongoza au kuingia katika mahusiano na mtu ambaye mnafanya naye kazi sehem mojaHabarini,
Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha ndoano, mbaya zaidi kimoyomoyo unamchukulia serious, kipindi chote ulichokaa nae hapo ofisini, kwa tabia zake unaona huyu akinikubalia tukiendana, anafaa kuoa, unamtongoza halafu anakukataa.
Ukute na hapo ofisini ana marafiki zake wengine wa kike, obviously ukimtongoza akikukataa, kwenye story zao atawaambia rafiki zake wa kike kuwa flani alimtongoza akakataa, hivyo CV/status yako kwa ujumla kwenye hiyo kampuni/mbele ya co-workers inashuka.
Mbaya zaidi unakuwa unaonana nae kila siku, heri angekuwa wa mtaani ukimtongoza akikataa unabadili njia ya kupita, sasa unamuona everyday, mara paap siku zinaenda unaona ameletewa posa, kaolewa, mara kapata ujauzito, na wewe uko hapo hapo. Sipatii picha hiyo awkwardness
How does it feel as a man, that pain, that embarrassment, all that effort uliyoweka, all that respect is flushed down the toilet. Unabaki unacheka usoni, moyoni umejaa maumivu na aibu
Hii scenario mimi binafsi haijanikuta in real life, ila najaribu tu ku-imagine.
Huu uzi bila comment ya Extrovert hautanoga
Nani kasema?Kikanuni hautakiwi kutongoza au kuingia katika mahusiano na mtu ambaye mnafanya naye kazi sehem moja
Wee mkuu ni geneus ππππhutakiwi kutongoza mtu, hayo mambo yamepitwa na wakati
Unapohitaji kitu unatakiwa ujue kuna kupata na kukosa. Ukielewa hili hakutakua na mambo ya kutia huruma ikitokea umekosa ulichokihitaji.Easier said than done, wewe ukitongoza halafu ukakataliwa utafurahi Mshuza2