Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

Now huwa hatutongozi....
Mf mashangazi hawa unaenda indirectly way kama kijana mwenye nia ya kumsaidia kazi mbili tatu...

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Baada ya hapo ni shwaaah
 
Kutongoza kuna matokeo mawili kukubaliwa na kukataliwa pia kwaiyo unapomtongoza mwanamke nenda na hayo mambo mawili hutokuja kujutia mitongozo
 
Unaa achana nae, take her kama mtu mwingine then maisha yanaendelea
 
Mimi nilimtongoza alinifanyia mbaya akanikutanisha na hawara yake ambaye ndio alikuwa mkuu wa kitengo da nilichambwa mpaka basi.

Ila Mungusaidia mkuu huyo akatumbuliwa eti sasa anajivuta tena kwangu. Nimesha mchunia huyu mbwa sura hana shepu hana ni tamaa tu.
 
Usichanganye mapenzi na kazi.
 
BAHARIAπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…