Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

Cv yako itashuka vipi kama hao wadada wengine wakijua? Ukipigwa kibuti maisha yanaendelea tena ukikutana nae mnapiga story kama hakuna kilichotokea. Shida mkitongoza huwa mnaweka na msisitizo wa sms unahisi atawaonyesha mashairi yako (formula ni moja tu sms za kimahaba hutumwa ukishakula mzigo)

Alafu utatongozaje mwanamke wa ofisini! Si unaona sasa una athiri kazi za taasisi na performance yako pia.

Ofisini huwa wanatongoza kiutani utani aka Kwa formula ya "sizitaki mbichi hizi" mwisho unakula "tunda kimasihara"
 
Unampotezea unafanya kama hujawahi kumtongoza ila salamu ni kama kawaida japo epuka kumshibokea au kumsusa utaona kazi chungu.. ukishindwa mtongoze rafiki yake wa kazini ili wagombane
 
Ushenzi wa kutongoza na kukataliwa, si unaona jamaa kajishobokesha kwako kuwa ufungue pm, ukampa Cha mbavu Kelsea
Unatakiwa kubadilisha hayo mawazo. Huwezi kubalika na kila mtu. Labda nikuulize swali dogo tu, wewe apo unakubali kila mtu maishani mwako? Huna chaguo kila mtu twende? Ukipata jibu basi hutakuwa na mawazo uliyo nayo sasa. Ukikataliwa kubali endelea na maisha yako wala haidhuru.
 
Hizo efforts kubwa ulizoweka ni zipi?
Besides mwanamke kazini hatongozwi boss bali unaangalia kuwa yeye ndio kakupenda na dalili utaziona
Labda anatembea na manager aliempa kazi na ni siri kubwa huenda ana mke wake
Ni mengi sana ya kuangalia kwa watu unaofanya nao kazi

Sio jambo zuri kutongoza wa kazini bora mheshimiane tu na kuendelea na majukumu yenu
Kwa mimi ni vigumu sana kumtongoza mwanamke kazini hata beki 3 ๐Ÿ˜„
 
Mwenyekiti wenu si alisema sasa ivi nyie masuperwoman!? Mnataka 50% kwa 50% kila kitu mbona mnasema tena kuhudumiwa?
 
Pole Kwa kukataliwa bro,swala la kumtongoza tu huyo dada atakuheshimu sana. Hata awaambie wengine,ni sawa tu itakujengea heshima kwamba ww ni fearless man, pia ni rijali,kaa ukijua mwanaume hanidhi ndio hudhalilikambele ya mwanamke na sio rijali. Huyo mwanamke Iko siku utamla akishazaa na mme wake wakachokana,lazima arudi kwako kupooza hasira za mme wake just chill.
 
Kumtongoza mfanyakazi mwenzio Ni kosa moja kubwa Sana la kiufundi.

Mimi nikiwa boss wako afu nikukute unatongozana na your fellow workmates lazima nikupige kalamu.
Hapo unaingilia maisha binafsi ya mtu
 
Your not a real man๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Bahari hilo ni Wimbi dogo sana.
Tafuta hela zaidi then utaleta jibu kesho.
 
Mwambie asiogope kusema kwa hofu ya kukataliwa, asiposema atajuaje kama kakubaliwa au kakataliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ