Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

Wanaume wenzangu mnaweza ku-deal vipi na mdada uliemtongoza halafu akakukataa, mbaya zaidi unafanya nae kazi ofisi moja

Sisi wanawake kwenye kikao chetu tulichokifanya tarehe 25 December...
Chini ya mwenyekiti wetu (jina kwenye mabano)

1-MARUFUKU KUANZISHA MAHUSIANO NA KAZINI (JOB MATE) MFANYAKAZI MWENZYO.

2-MARUFUKU KUANZISHA MAHUSIANO NA MPANGAJI MWENZYO AU JIRANI YAKO.

3-MARUFUKU KUMTONGOZA MWANAUME,

4-MARUFUKU KUMKARIBISHA MWANAUME MAHALI UNAPOISHI,

-MARUFUKU KUMFULIA NGUO BOYFRIEND

-MARUFUKU MARUFUKU KUMPA HELA MWANAUME KWANZA SISI HATUNA HELA

-MARUFUKU KUBEBA MIMBA KABLA YA NDOA,WEWE HAUNA KIZAZI CHA MAJARIBIO


MWISHO,

MWIKO KUDATE NA MWANAUME AMBAYE HAKUHUDUMIII.
Ila uzuri wengi kwenye hio point namba 1 huwa mna exceptions.

Work mate akiwa level sawa na nyinyi anaenda kupanda daladala mnampotezea ila akiwa ndio CEO huwa mnachagua wenyewe hotel ya kwenda kuvuliwa pampas😁
 
Ukiskia unatakiwa ukaze kisabuni ndio inatakiwa iwe kwenye situation kama hio ila tu hakikisha umekamata co-worker mwingine ili kutuliza wenge.
Sema kutongoza kuna raha yake, unajikuta tu una mafeelings ya nyege. 😂😂😂😂

Raha ya kutongoza ni kukubaliwa. Ukikataliwa unakuwa mdogo kama nyegere.

Hata ufanisi wa kazi unashuka mno. Muda wowote una mashaka na wasiwasi.

Akikuangalia unakimbia kwenda kujificha 🤗🤗🤗

Usiombe acheke na wenzake kwa sauti halafu wagonge mikono... Alooohhhh uharo unabana 😹😹
 
Sema kutongoza kuna raha yake, unajikuta tu una mafeelings ya nyege. 😂😂😂😂

Raha ya kutongoza ni kukubaliwa. Ukikataliwa unakuwa mdogo kama nyegere.

Hata ufanisi wa kazi unashuka mno. Muda wowote una mashaka na wasiwasi.

Akikuangalia unakimbia kwenda kujificha 🤗🤗🤗

Usiombe acheke na wenzake kwa sauti halafu wagonge mikono... Alooohhhh uharo unabana 😹😹
Haisumbui kwa kidume rijali hio!
 
Sioni tatizo lolote kwenye hilo maana mapenzi ni kama kutafuta kazi unaomba na unakosa siku nyingine unapata. Sasa usipoomba penzi utapewa vipi na kwenye kuomba kuna YES or No. We mgeni nini wa hii fani? Watu tunatongoza mpaka mabosi wetu wa kike sembuse demu tu mnayefanya nae kazi
 
Tunakupa last chance mtongozo unaofuata ulete mrejesho wa ✔na sio ❌
 
Mkuu tuliza akili maintain urafiki kua positive kwake huyo manzi ni suala la muda tu utapiga sana mpaka utakina

Unapohitaji kitu unatakiwa ujue kuna kupata na kukosa. Ukielewa hili hakutakua na mambo ya kutia huruma ikitokea umekosa ulichokihitaji.

Kingine cha muhimu, usitongoze mtu unafanya nae kazi ofisi moja itakusaidia kukwepa fedheha zisizo na ulazima.
Unatongoza tu bhana , mtongozaji mahiri achagui kambi wala haogopi kukataliwa .
 
Mimi sijawahi kutongoza mwanamke nikakataliwa. Kwanza wao ndio huwa wananitongoza.

Hivi kumbe kuna kukataliwa?? Mbona hamsemagi mmeficha hii siri miaka yote hii?

Hata akikukataa shida iko wapi? Kwani ni mama akoo?

Mwambie apite kushoto kisha CHAPA KAZI.

Nasema C.H.A.PA K.A.Z.I.

Cc Lamomy Depal
Wewe mara ni mshangazi mara huku unatongoza wanawake , unatuyumbisha sana mabaharia ujue.
 
Kuna wengine wanataka wakitongoza wasikataliwe ikitokea wamekatalia vita inaibuka. Shida ndio ipo hapo.
Hujanielewa, mimi siwezi anzisha vita/uadui na mdada alienikataa, shida ni emotions zangu binafsi baada ya mimi kukataliwa, kukataliwa ni aibu na kunauma haswa haswa kama mdada alienikataa akiwaambia rafiki zake wa kike, daah, hata kama mmoja wa hao marafiki zake wa kike alikuwa ananipenda, akisikia story ya mimi kidume nimetongoza nikakataliwa, lazma atanishusha hadhi Kelsea
 
Wewe haijakukuta lakini kwa maelezo yako unaonekana una hiyo fear ndo maana unaogopa kutongoza.Mwanaume heshima yake haishuki kwa kupigwa cha mbavu unaweza kukataliwa na dem wa kawaida na ukaja kukubaliwa na dem mkali zaidi,hauwezi kudhalilika sababu ya dem kuwahadithia wenzake.Mwanaume lazima utongoze ndo uanaume wenyewe.All in all nakushauri usidate kazini,madem wa oficn wachukulie kama dada zako au washkaji utaishi kwa raha sana.
Mwanaume ni lazima utumie akili. Siyo unazuka tu na kumparamia mwanamke kuwa unampenda. Pima mazingira. Anza kumzoea taratibu. Angalia mwitikio wake. Angalia anavyo respond. Suggest sehemu ambazo mnaweza kwenda pamoja. Ukiona signal zote ni OK then wasilisha mada. Kama alikuwa anaonyesha ushirikiano siyo rahisi kukukatalia.
 
Mwanaume ni lazima utumie akili. Siyo unazuka tu na kumparamia mwanamke kuwa unampenda. Pima mazingira. Anza kumzoea taratibu. Angalia mwitikio wake. Angalia anavyo respond. Suggest sehemu ambazo mnaweza kwenda pamoja. Ukiona signal zote ni OK then wasilisha mada. Kama alikuwa anaonyesha ushirikiano siyo rahisi kukukatalia.
wewe hujakutana na KE anaye onyesha dalili za kukutaka ili umtongoze halafu akupige chini.
 
Back
Top Bottom