Wanaume wenzangu njooni tuongee:- Mnawezaje kuishi na wanawake wenye midomo?

mimi sikupigi utajipiga mwenyewe
 
Daaah kweli hapo kwenye makofi huwa wana washwa sana hao ma chiriku chiriku 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nilichokizingatia ni hapo kwenye muv za thor ndo la muhim
 
Binafsi,Kama mwanamke huwa namuelewa Sana Mwanamme anayenisikiliza......na Kuna baadhi yenu mbarikiwe Sana ni wasikilizaji wazuri saana...Kama wewe umegundua Hilo tayari basi wifi anaenjoy tu
Mimi nafikiri sisi wanaume wengi wetu hua hatupendi kuwasikiliza wanawake zetu, na pia hatujali kumsikiliza mwanamke anapo ongea ni pamoja na kuachana na kile ulikuwa unafanya, concentrate kwenye kile anacho anaongea. Sikiliza hisia zake zinaongelea kitu gani na sio kile ambacho mdomo unaongea tu.
 
Mwanamke akiwa na mdomo ni shida , wapo wanawake wana mdomo akikukosa ana kwa ana anaanza text za maudhi mpaka unajiuliza huyu ni mzima au kichaa! Na mara nyingi wanawake wwnye midomo huwa ni wambeya sana na uswahiliswahili tu ili akunyamazishe mwanaume usiwe na sauti, sasa dawa yao wala usigombane nae, kila akinyanyua mdomo mwambie sipendi kelele, akikurupuka mwambie sitaki kelele, yaani utamkomesha mpaka atatamni kupasuka, au jiondoe eneo la tukio kama humuoni vile yaani atajiona mjinga, na atafikiri unaenda kwa mwanamke mwingine, hatokaa kwa amani utasikia anasema sasa unaenda wapi, mbona hunisikilizi, ukirudi unaongea nae kawaida akianza tena unamwambia nataka kupumzika sihitaji kelele!
 
MWANAMKE wangu nilimwambia ukiweza ongea usiku mzimaa na mchana wote ila USITUKANE..
Nilichojifunza kwa hawa wanawake, ni wanapenda kusikilizwa sana, tujifunze kuwasikiliza hata kama wanaongea upuuzi ni lazima uusikilize tu tofauti na hapo ni mgogoro,
Ushauri kwa wanawake,
Jifunzeni namna nzuri ya kuwasilisha hoja zako kwa mume, wanaume hatupendi kelele au kufokewa, tafuta namna ambayo utaongea na mume bila kuogombana nae , mume atakusikiliza na atkuelewa na atafanya kile unataka au zaidi ya paleulipodhani
 
Yani mwanamke ukimsikiliza ujinga wake anaona huyu ndo mwanaumee yani ukimrekebisha hapo mtagombana sana aisee..
 
Ni asili yao na hata ukiona anakupigia stori nyiiingiii usije ukadhani mnoko hapana, ni vile Huwa wanatafuta mtu wa kuwasikiliza.
Ni watu wa kuyabebelea rohoni na kuyavundika.
MAISHA YAO YANAONGOZWA NA HISIA.
[emoji122][emoji122][emoji2935]
 
Ukiona mwanamke ana mdomo ndani ya nyumba brother bado hujajua kukwangua ikusi vizuri.... Kwangua hadi ifululize kujamba kama vuvuzela "mbuuuuuuuuhhhh" uone kama atakuwa na confidence ya kukupandia juu.
 
Ukiona mwanamke ana mdomo ndani ya nyumba brother bado hujajua kukwangua ikusi vizuri.... Kwangua hadi ifululize kujamba kama vuvuzela "mbuuuuuuuuhhhh" uone kama atakuwa na confidence ya kukupandia juu.
Sio kweli unaikwangua zaidi ya vocha lakini wapi, wapo wanawake ni asili yao , yaani ni visirani tu na ukali uliopitiliza
 
Sio kweli unaikwangua zaidi ya vocha lakini wapi, wapo wanawake ni asili yao , yaani ni visirani tu na ukali uliopitiliza
Hapana nakataa. We unasema hivi ili kujitetea ila nikuambie tu ukweli jeuri ya mtu ni kabla ya kujua madhaifu yake hasa vile vitu vya kumdhalilisha akuonee aibu.
 
Ukiona mwanamke ana mdomo ndani ya nyumba brother bado hujajua kukwangua ikusi vizuri.... Kwangua hadi ifululize kujamba kama vuvuzela "mbuuuuuuuuhhhh" uone kama atakuwa na confidence ya kukupandia juu.
Kuna wengine ni nature,yani ndo kazaliwa hivyo,hata ukwangue vipi haachi kuwa na mdomo[emoji2960]
 
Kuna wengine ni nature,yani ndo kazaliwa hivyo,hata ukwangue vipi haachi kuwa na mdomo[emoji2960]
Sio kweli bhna, nje na hapo labda ana matatizo ya akili mkuu.... Mimi nasema hivyo kwa kuwa nina expirience na hao chicks soma reply yangu ya juu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…