WANAUME WENZANGU: Umewahi kufanya jambo ukaja kujuta baadae kama mimi ninavyojuta mpaka sasa?

Fanya kitu kuhusu huyo dada. Zungumza naye ni kipi unfanyie.
 
Haya naisevu hii comment nisione unatoa maoni hasi Kwa singo Maza. Nisikuone kwenye kataa ndoa
 
Nikuulize kitu Kapeace

Wapi uliona vitabu vitakatifu vinazungumzia Karma?

Hizi ni mambo tu watu wamejitungia kutishana tu
Yani we mkware wewe,, hebu punguza dhambi unaona unavyohangaika umeniquote mara mbili kwa comment moja,, karma ipo kaa kwa kutulia hasa kwa makosa ya kukusudia km ya mtoa mada kumzalisha na kumtelekeza dada wa watu, chozi na simanzi ya huyo dada iko juu yake
 
Singo mama, ana operation ya kuzaa, over 30 yrs
Dah huyo dada kazi anayo ila ajipe moyo atapata mume wa maisha.
 
Karma ipo watu wakubali ama wakatae
 
Kosa ulilofanya hukusikiliza sauti ya Mama yako! Ungemuoa huyo huyo mwanachuo uliyempa ujauzito akakuzalia mwana.
Sikuombei mabaya! Lakini kama umezaa mtoto wa kike atafanyiwa hivyo hivyo kama ulivyomfanyia huyo binti.
Atazalishwa na atatelekezwa!
angezaa wa kiume je?
 
Nilikutana tuu na mwingine nikampenda basi. Sio kwamba alikuwa na kasolo ,No.
Ulikosea sana mtu uliyepaswa kumpa kipaumbele ni huyu ambaye umekwisha zaa nae... Wengine mnawezaje kukubali kuwa na watoto kutoka kwa mama tofauti tofauti aisee....
 
MKuu, kufunga ili kuondoa roho za malipizi ndo inakuaje? Maana kuna majuto tunayo yanaeza kujaa kaunta buku.
Roho za Malipizi, kwa lugha nyepesi ni Kisasi namanisha Kuwa kile ambacho unamtendea mwenzeko basi hicho ndo kitacho tendeka kwako means kinajirudia kwako, haijalishi ni kibaya au kizuri
Ogopa sana ndugu mtu anae ishi maisha ya kumlaumu mwingine, mfano mtu anasema Fulani ndo amesababisha niwe hivi, aisee hiyo ni Mbaya sanaa machozi anayo yatoa siyo Bure, yanaweza yakaja kutokea kwako au kwa watoto wako aidha kwa kizazi chako ukawa na watoto wa kike au wa kiume ukashangaa Hawaoi au hawaolewi, kiufupi huyo Dada anateseka na hayo mateso umemsababishia wewe na anakulaumu wewe.

Swala la Majuto, huyo Dada hajakubali ku move on na hiyo kwa sabab ya Hali anayo pitia so anapo pita kwenye hiyo hali ndo anakukumbuka ulio mfanyia na anamua kukutafuta, nawewe anapokutafuta ndo nawewe Roho ya huruma inakuingia unaanza kujuta lakin kama ange move on usingeleta Thread hapa unajuta but kwa sabab Bado anateseka na anakutafuta lazma ujute kwa ulichomfanyia
Muombe Mungu wako hiyo Laana ya machozi yake isikupate
 
Daaaaah.
Ulizingua sana Kiongozi.

Japo Binti nae alizingua, genye zilimponza. Kuna mabinti sasa wanaenda chuo, wajifunze kipitia hili.

Ukiwa na genye na usidinywe kwani unakufa?.

Angalia namna Kiongozi upunguze kovu la Binti wa watu. Daaaaah inasikitisha Sana.
 
Ni kweli kabisa kuna mambo sisi wanaume kutokana na hali na mwenendo wa maisha yetu ya ujana kuna baadhi ya matendo ambayo hujikuta tunafanya halafu gharama zake ni kubwa sana yametugharimu wengi....kwa kuongozwa na mihemko tu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…