Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Huenda ni malezi niliyokulia maana sikuwahi kabisa kumuona mzee wangu akivaa sare na mama yangu.
Ziwe sare za kanisani ama popote pale kwakweli sijawahi Ona hadi sasa wana zaidi ya miaka80!
Ninyi wanaume wenzetu ni Mahaba/upendo sana kwa wake zenu au ni limbwata pamoja na kupandwa kichwani na wake zenu?
Kwangu mimi naona ni ngumu mno kunivalisha sare. Pete ya ndoa nayo nahisi nilivaa siku zisizozidi 3 nikaweka kwenye bag japo hadi sasa ipo bi mkubwa akaitunza.
Leo nimeona jamaa yangu kavaa batiki la sare na mke wake pamoja na watoto. Kwakweli nimemuuliza kuwa jamaa wewe unaweza vipi?
Akanishangaa na mimi nikamshangaa kifupi tumeshangaana wote.
Wakuu huu ujasiri ninyi mnaweza vipi wajameni?
Ziwe sare za kanisani ama popote pale kwakweli sijawahi Ona hadi sasa wana zaidi ya miaka80!
Ninyi wanaume wenzetu ni Mahaba/upendo sana kwa wake zenu au ni limbwata pamoja na kupandwa kichwani na wake zenu?
Kwangu mimi naona ni ngumu mno kunivalisha sare. Pete ya ndoa nayo nahisi nilivaa siku zisizozidi 3 nikaweka kwenye bag japo hadi sasa ipo bi mkubwa akaitunza.
Leo nimeona jamaa yangu kavaa batiki la sare na mke wake pamoja na watoto. Kwakweli nimemuuliza kuwa jamaa wewe unaweza vipi?
Akanishangaa na mimi nikamshangaa kifupi tumeshangaana wote.
Wakuu huu ujasiri ninyi mnaweza vipi wajameni?