Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #41
Hapana asee.Ni ufundi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana asee.Ni ufundi tu
Yaan ni bora mkafafte tshirt za kufanana lkn vitenge? Kwanza kitenge ni vazi la kikeSikupingi mkuu. huu ni ukweli kabisaa
Mimi huwa inatokea siku nimependa mwenyewe na kuna muda hata tunaenda clinic huwa tunafika kila mmoja kwa wakati wakeKwanza mimi hata kuongozana na waifu huwa ni mtiti
Ila bana Congo wanapenda mpaka wanaume wanatingaMkuu kitenge wengine batiki
Sio kitenge iyo nguo ya turkey 😹😹😹Na inaonekana ni mvaaji wa nguo za kushona za vitenge kama huyo kwenye avarter yako alivyo.
Ahahahaha..uturuki ya tandika labdaSio kitenge iyo nguo ya turkey 😹😹😹
Wakongo wanachowazaga ni kukata mauno tu basiIla bana Congo wanapenda mpaka wanaume wanatinga
ENZI NA ENZI KITENGE NI VAZI LA KIKE SASA HIZI FASHION ZA KILEO ZINTUFEDHEHESHA SANA WANAUMEYaan ni bora mkafafte tshirt za kufanana lkn vitenge? Kwanza kitenge ni vazi la kike
Wivu ni pale kama sina uwezo wa kushona hiyo sare au pengine sina mke. Kama ninayo vyote vile wivu unatoka wapi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wivu tu acheni watu waishi maisha yao
Jibu utapata kutoka kwa wachungaji ndio hupendelea kushona hizo sare na wake zao watakwambia ni upendo kwa wake zao ndio unawafanya washoneWivu ni pale kama sina uwezo wa kushona hiyo sare au pengine sina mke. Kama ninayo vyote vile wivu unatoka wapi?
watuambie wao wanaweza vipi?
Je wewe unaona ni sahihi mmeo kuvaa sare ya kitenge nawewe?Jibu utapata kutoka kwa wachungaji ndio hupendelea kushona hizo sare na wake zao watakwambia ni upendo kwa wake zao ndio unawafanya washone
Binafsi sipendi mwanaume anaye vaa mashat ya vitenge hata kwa yeye siwez ruhusuJe wewe unaona ni sahihi mmeo kuvaa sare ya kitenge nawewe?
walokole hawajawahi kuwa na akili timamu tangu na tangu. kwahiyo wao wanajua upendo upo kwenye vitenge tu
Mwanamke akishavaa jezi yoyote namuona malaya .Kitu Pekee tavaa Cha kufanana na Manzi yangu ni Jersey ya Real Madrid tu
Kwangu mimi siwezi na haiwezekani kabisa .Hata kijana wangu wakiume siwezi mruhusu mama yake amshonee sare atamzowesha hata akioa aone kawaida tu kuvaa sare na mke wake. Ni aibu kubwa sana mwanaume kuvaa sare ya kitenge hata batiki hamna kama jezi za mpira hizo sawaBinafsi sipendi mwanaume anaye vaa mashat ya vitenge hata kwa yeye siwez ruhusu
Maana aibu huwa na ipata nikiona mwanaume yoyote amevaa kitenge
Kuna moja alishona suit ya kitenge🤣🤣🤣🤣mbavu zangu ziliuma siku nzima kwa vicheko alikuwa kama panzi wa kijaniKwangu mimi siwezi na haiwezekani kabisa .Hata kijana wangu wakiume siwezi mruhusu mama yake amshonee sare atamzowesha hata akioa aone kawaida tu kuvaa sare na mke wake. Ni aibu kubwa sana mwanaume kuvaa sare ya kitenge hata batiki hamna kama jezi za mpira hizo sawa
HahaaaaaaKuna
Kuna moja alishona suit ya kitenge🤣🤣🤣🤣mbavu zangu ziliuma siku nzima kwa vicheko alikuwa kama panzi wa kijani
Vyama hivi jamani