Hamna huo ujinga kwa wakinyaki.
Hao mara nyingi wanakuwaga wagogo,wasukuma huko kwenda bukoba,
Ajira waalimu au serikalini.
Na huwa wanaanzia kupiga magoti kwa hao wanaenda kuoa.
Badae ndo wanavalishwa mibatiki.
Wakigongewa wanajinyonga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.