Shida ni kuzipata original maana pombe nyingi maarufu bongo watu wanafetua feki mnooo.... unless uende exclusive places ndio utapata vitu original . Watu wanaua Figo za watu mnooo.Kutana na triple distilled mkuuπββοΈni shida.nikijisikiaga kunywa hii miongozo basi huyu masta anakuwaga wa kwanza.
View attachment 2540228
Kuna huyu mnyama pia.huyu jamaa ni mgumu kiaina ila huwa ninampenda Kwa sababu ya harufuπππ
View attachment 2540231
Very sadπππShida ni kuzipata original maana pombe nyingi maarufu bongo watu wanafetua feki mnooo.... unless uende exclusive places ndio utapata vitu original . Watu wanaua Figo za watu mnooo.
Umemaliza kila kitu.... mohans pekee ndio sehemu ya uhakika. Kuna American bourbon whisky moja tamu na watu wengi hawajaanza kuzifetua JIM BEAM itafute hutajuta. Inanyweka na watu wachache mnooo.Very sadπππ
Ukiwa Dar unajiendea zako Mohans.huko nako kama kuna uchakachushaji basi kwisha habari
Nunua sawa unywe af usikae sana watu wanasema kuna watu wengi kumbe weww ndio umejaza nafasiKaka Mwachi kama hawajakuomba uwanunulie chochote waache. Tukiwa omba omba mnatusena, tukijinunulia hata hako kakinywaji kamoja napo nongwa.
Lakini ikitokea ofa sikatai ππAh wap
Salamu kwako mkuu wa kayaMdogo angu nakusalimia π€π€
Natafuta Hoja katika hii Thread Content yako bado sijaiona / sijaipata na nitashukuru ukinielewesha zaidi.Morng guys
Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pauperism kwa kiingereza.
Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana, asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person.
Mbona hadi wanaume wa design io wapo, πππMorng guys
Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pauperism kwa kiingereza.
Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana, asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person.
Ila wanawake mmezidiMbona hadi wanaume wa design io wapo, πππ
Sasa c bora hao wanaonunua bia moja wale wanaokaa nje kule jeππ
Sijawahi kupenda Bourbon whiskey mkuu sijui kwanini..Umemaliza kila kitu.... mohans pekee ndio sehemu ya uhakika. Kuna American bourbon whisky moja tamu na watu wengi hawajaanza kuzifetua JIM BEAM itafute hutajuta. Inanyweka na watu wachache mnooo.
Sasa nikikaa sana wewe unakwazika na nini?Nunua sawa unywe af usikae sana watu wanasema kuna watu wengi kumbe weww ndio umejaza nafasi
Uko sawa kweli mkuu.Ila wanawake mmezidi
Si huwa wana kusubiri ukawanunulie zilizobakiππIla wanawake mmezidi
π€£π€£π€£12.4 niombe ofa basi weka alarmLakini ikitokea ofa sikatai ππ
Mdogo angu Mwachiluwi njoo huku unaitwa utoe ufafanuzi....Natafuta Hoja katika hii Thread Content yako bado sijaiona / sijaipata na nitashukuru ukinielewesha zaidi.
πππ wewe pita kuleπ€£π€£π€£12.4 niombe ofa basi weka alarm
Kumjibu huyo kaziMdogo angu Mwachiluwi njoo huku unaitwa utoe ufafanuzi....
Kiboko hii ungewatimuaWanawake bhana wana mambo ya hovyo sana, nakumbuka muda kidogo mwaka 2008 nilienda pale Level 8 Bar Kilimanjaro Hyat Hotel, Kuna mademu wawili waliingia pale nadhani walikuwa ni Wazoefu na walikuwa wanajuana na Wahudumu wakaagiza maji ya kilimanjaro madogo wakajimimiminia kwenye glass za wine za rangirangi wakawa wanakunywa as if wanakunywa Whiskey yale maji walikunywa zaidi ya lisaa halafu walikuwa wamevaa kiofisi na vitambulisho kumbe walikuwa wanavizia Wazungu na Wafanyabiashara waKiume. π π π π π