Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
๐๐๐Anajisahaulisha sio๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐Anajisahaulisha sio๐๐
Ahahah nikose kweli 4000 ya bia mbili kumpa ๐๐Labda kama hauna hela
Ahhah ahahah sawa dada heshima kwakoAcha kufannaisha macalan na vitu vya kijinga basi jombaa
Basi usimnange, mnunulie utazidishiwa siku ya mwishoAhahah nikose kweli 4000 ya bia mbili kumpa ๐๐
Ila wanawake kuwanwalevi hatupendezei basi tu hivo kilamtu na maisha yakeUna shangaa umemuambia agiza kingine ana agiza wine wakat alikuwa anakunywa serenget
Unatafuta kupigwa weweIla wanawake kuwanwalevi hatupendezei basi tu hivo kilamtu na maisha yake
Sawa nimekuelewaSikia kijana mimi sinywi pombe na siendagi huko pub sijui bar and am too old for that of stuff. Ila tu sijaelewa kwa nini wewe ukereke na mtu kunywa bia yake masaa mawili ilhali hajakubughudhi kwa lolote. Naamini si Kila anayefanya hivyo anataka wewe umnunulie..huenda anamsubiria mtu? Au labda ana appointment muda fulani anasogeza muda utajuaje
Mimi huwa nalopoka kuchanga msha genge tu ๐๐๐ bhnaWe mwenyewe mbona unaombaga ombaga ofa humu?..au unasahau napema..kati ya comments zako 10, 3 umeomba ofa ... unapenda mitoko na hela huna...mko same boat ..mkae mjadili mnaachaje hiyo tabia๐
AhahahahMwingine anakua ana stress..anaamua kujipumzisha na kinywaji kwa masaa mengi ..! Kwanza mwanamke anayekunywa bia taratibu ana ustaarabu( anajibrand) sana kuliko anayepiga mitarumbeta...mijicho juu juu hatulii
Ahahha afu lita moja na nusu ya kilimanjarowapo na wale wanaenda bar kungalia mechi za EPL hawanaga team wanayoshangilia, unakuta emenunua maji ya kuzugia
Nakazia kuanzia hapo 'kila mtu...'Ila wanawake kuwanwalevi hatupendezei basi tu hivo kilamtu na maisha yake
Juliana ipo pande zipi nije kukuunga mkonoMorng guys
Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pourperism kwa kingeleza
Ila pongezi kwenu wanawake ambao mkifika mnajaza savana kwenye meza ninyi pesa sio shida zenu na ninyi ndio mnatakiwa sana asilimia mia ni nadra kuwakuta wa aina hii kuwa dependent person
Umeamua kumtolea uvivuWe mwenyewe mbona unaombaga ombaga ofa humu?..au unasahau napema..kati ya comments zako 10, 3 umeomba ofa ... unapenda mitoko na hela huna...mko same boat ..mkae mjadili mnaachaje hiyo tabia[emoji17]
Ninyi nao mmezwa na savana [emoji23][emoji23]
Kweli kabisa kilamtu aishi apendavyo tuNakazia kuanzia hapo 'kila mtu...'
Naona hizi comments zako anaziruka hataki kujibu kabisa[emoji2][emoji2]Huyu dogo anaombaga ombaga sana humu..leo anajitoa ufahamu..mradi awaseme tu wanawake[emoji52]
Mradi asikwaze wengineKweli kabisa kilamtu aishi apendavyo tu