Wanawake acheni hii tabia mara moja

Wanawake acheni hii tabia mara moja

Hii single malt ni nzuri mnooo kwakweli
Kutana na triple distilled mkuu🙆‍♀️ni shida.nikijisikiaga kunywa hii miongozo basi huyu masta anakuwaga wa kwanza.
0F1736F5-149B-465B-89D9-83BDFF5545B2.jpeg

Kuna huyu mnyama pia.huyu jamaa ni mgumu kiaina ila huwa ninampenda Kwa sababu ya harufu😋😋😋

CE5EE921-C884-427F-BA92-DA1D73DCC990.jpeg
 
Demu akishakua mlevi tu huwa kuna bolt zinalegea kichwani, huwezi kumkuta Dem ambae siyo mlevi kaenda kukaa sehem ya starehe na hana hela ya kujihudumia kwenda kuombaomba na kutega wanaume
Kwenye huu mwandiko kuna hoja tatu ujue mkuu Lucha

1.mwanamke mlevi asiyeweza kujihudumia mwenyewe

2.mwanamke mwenye kuweza kujihudumia mwenyewe ulevini (so mwanamke mlevi Inaelekea hupatani nae)

3.mwanamke asiyekunywa pombe.

Huu ni mtazamo lakini
 
Savanna, desperado, flying fish, na hizo light waweke kundi moja, lakini macalan ukikuta mwanamke yupo nayo mezani ujue kabisa hajatokea tandahimba siku hiyo , hapo ukiona anasimu na anaperuz jua anaangalia mipango ya conference za kibiashara na masoko ya mboga mboga ulaya, huyo hapepesi wala kugeukageuka hovyo ili aitwe
🫡🫡🫡🫡🫡
 
Kwenye huu mwandiko kuna hoja tatu ujue mkuu Lucha

1.mwanamke mlevi asiyeweza kujihudumia mwenyewe

2.mwanamke mwenye kuweza kujihudumia mwenyewe ulevini (so mwanamke mlevi Inaelekea hupatani nae)

3.mwanamke asiyekunywa pombe.

Huu ni mtazamo lakini
Sijakuelewa
 
Back
Top Bottom