Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
unamtafuta wa nini na mliachana,Kwahyo ex atafutw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamtafuta wa nini na mliachana,Kwahyo ex atafutw
Kporo hakitupwiunamtafuta wa nini na mliachana,
sawasawa 🙌🏼🙌🏼Kporo hakitupwi
Mbna zipo nyng telegramGawa nambA
Umenenaangalia UTI
Mchambuz wa mapenzHayo majibu mafupi inaonyesha anakudharau na kakufukuza kwa style ya kupiga mzinga
Saidia utasaidiwasasa ni ngumu kutambua muda wa ishu serious, kwasababu mizinga ni mingi tunaona kama tunachunwa.....
Kama nikila siku unamwita unamwambia nauwezo wa miezi miwili tu katika usaidizi unamnunulia chakula Cha jumla mwezi wakwanza na wapili basiNdo kila sku mtu akikutumia tu meseji bye iwe njaa inauma
Nipe directionMbna zipo nyng telegram
Kuna kosa kubwa umefanya mkuu nimeona hapo kwenye mazungumzo yenu reduce the length of your texts, and you’ll look much less desperateBwana leo nikasema nmkumbuke ex Wang maana toto ni nzuri a.k.a la kwenda, basi nikachati nalo uko Facebook kwasabab namba yake nimefuta (namuheshimu ninae ishi nae,sijaoa), kweli bwana nafungua tu Facebook mtandao wake pendwa nikamkuta online tutakaanza kuchat.
Mwsho wa kuchat ukawa kama hvo Chin
mwanamke kumsaidia mwanaume?? sijawahi ona....Saidia utasaidiwa
tips and tricks.... 😂Kuna kosa kubwa umefanya mkuu nimeona hapo kwenye mazungumzo yenu reduce the length of your texts, and you’ll look much less desperate
KvpApo kwenye yai umetupanga mzee [emoji1787][emoji1787]
Mchambuz wa mapenzHuyo Ke hakupendi na hakuheshimu hata kidogo, alafu yupo very short and sweet lakin mjuba unatiririka na gazeti. Bado unampenda.