Wanawake hawapendi kuulizwa maswali. Fanya tu watakuona wewe ndiye dume

Noma sanaaa, ngoja tuchukue shule hapa 😁
 
nilivyomwelewa Robert Heriel Mtibeli hayo maswali yasiotakiwa kuwauliza uliza wanawake na kuhoji yeye anamaanisha ni yale yahusuyo mambo ya KIHISIA ndio maana mifano yake yote imebase kwenye mapenzi tu.

Unafikiri haelewi Joannah, yeye anataka aendelee kuwaburuza Vijana.
Unajua siku hizi Vijana wamekuwa legelege na ndio soko la kina dada Joannah na wenzake humu. Wakiona nawasanua basi watanishambulia vilivyo
 
Ngoja niscreenshot huu ujumbe aje asome huyu nyau maana nae anatabia hzi zote ulizoweka hapa na hajui Wala hajawahi kuingia jamiiforum kujifunza madini kama haya jamani. Hongera bandiko.
 
OK unafanya hayo mambo yote .....pesa unatafta sangapi ........ maana hata umfanye vipi mwisho wa siku manzi anawaza utampa bei gani
 

Mtibeli kwenye Ubora wako
 
Unafikiri haelewi Joannah, yeye anataka aendelee kuwaburuza Vijana.
Unajua siku hizi Vijana wamekuwa legelege na ndio soko la kina dada Joannah na wenzake humu. Wakiona nawasanua basi watanishambulia vilivyo
Hatukusanui unapotosha vijana wenzio,,,si unaona vijana wanaanza kuparamia watu kwenye mwendokasi,wakiitiwa mwizi😁😁😁??
 
nilivyomwelewa Robert Heriel Mtibeli hayo maswali yasiotakiwa kuwauliza uliza wanawake na kuhoji yeye anamaanisha ni yale yahusuyo mambo ya KIHISIA ndio maana mifano yake yote imebase kwenye mapenzi tu.
Achana nae huyo mtibeli,kama anaongelea upande wa kihisia Sasa mbona anafananisha mwanamke wa kike na tetea?....tetea ndio haulizwi.
 
Unafanya yote hayo anaenda kugongwa na bodaboda anayemletea chips kwa hela yako mwenyewe.

Wanawake hawanaga shukrani hawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…