Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mpenzi unajidanganya hao watu hawana shukuraniHao watoto wake wanazuia vipi huba langu?
Me naangalia mapenzi na huduma muhimu hayo ya watoto nitawalea kiroho safi, na mama zao hawantishi!! π€£π€£π€£
Utaoa wagumba shwaini[emoji3526][emoji3526] HATUOI SINGO MAZA.
Ndio utulie na weweMie nimepewa angalizo.. nisije zalisha nje huko..
Yaani hataki asikie nina Uzao mwingine.
Hahaha πUtaoa wagumba shwaini
Tutagawana majengo ya serikaliHuwajui wanawake wewe usijaribu hiyo utamkuta mtoto kafa
Nisikilize mimi peleka kwa bibi mtoto wako au usioeTutagawana majengo ya serikali
Kukubali mpaka tuonyweshe kaburi la mama mtoto..
Inashangaza sana...Sema sijui kwanini single father nao hawataki kuoa single mother wanatak wasiokuwa na watoto
Yule Mjerumani wako akikwambia ana mtoto utathubutu kumkazia ampeleke kwa bibiNisikilize mimi peleka kwa bibi mtoto wako au usioe
Kwakweli inasikitishaInashangaza sana...
Inaumiza pia wanawake masingle mama, ni kama wametengwa Fulani hivi, wakati wanaume masingle baba wao wanajimwambafai ...Kwakweli inasikitisha
vipi kama mpunga upo wa kutosha na kaburi la mama mtoto halipo?Kukubali mpaka tuonyweshe kaburi la mama mtoto..