Sura nayo inaleta vibe wazungu wakuje vizuri,sio wakati unagonga ukitaka kumwaga unavuta hisia za picha ya pisi kali ndio umalize.Kwani we unataka sura au mashine?
Nifunike uso na mto bhana, unakwama wapi bro πππ
Hii uhakikaNdio maana tunapodate nao kwa mara ya kwanza wakati wa kukutana tunawaacha mataa baada ya kuona uhalisia
Hawa viumbe ni shida sana mkuuKuna demu hapa mtaani huwa tunamuita Irene Mapepe huwa namuona wa kawaida sana rafiki zangu walikua wakiniambia mchumba wako yule kule anapita lazima niwaletee noma.
Sasa Irene sijui akatoa wapi smartphone siku moja nimemuona mtandaoni ni mzuri kinoma yani hadi nikamtumia meseji kumuomba msamaha maana mi ndo nilimpa jina la Irene Mapepe
Hapana yaani anajimaliza mbele na nyuma mkuu.ππMkuu, nje ya mada kidogo.
Huyu anaunguza nini huko nyuma, kwamba ni tafsiri ya kupigwa pasi?
Kwahiyo ukiongeza unaridhika kabisa au vipi?Sasa kwa sisi ma polygon wenye sura za kiume tukitupia picha halisi huwa mnatucheka, sa tufanyeje? Bora tuongeze kafilter
Muhimu sana hiiKikubwa uwe na utelezi wa kutosha π
Nadhani ni hivyo kabisa mkuuHali hiyo ni dalili ya ugonjwa wa akili
mideko mrembo mkali worldwide na wewe unatumia vichujio?Kawaida tu...
Mimi sijaona shida kwao as long as ana furahia anachokifanya.Hapana yaani anajimaliza mbele na nyuma mkuu.ππ
Hao kina Mondi, RayVanny, Jux nk, wote wanatumia filter. Hao ni watu maarufu, halafu kuna wale hawana majina kama mimi nao wanatumia. Hapo nashangaa kwanini watuone sisi wanawake ndiyo tatizo. Victims and perpetrators wapo pande zoteAnd ofcourse hii tabia imesambaa mpaka kwa wanaume, kuna mshikaji nilimpiga block kwa sababu hii hii... Mtu unapost status unalamba lips huku umejiremba na filters damn!
Kwisha habari yako. Mnara wa babeli ukasizi papo kwa hapoππExample ni hata profile pics zao hata hapa jf. Nimefanikiwa kukutana wanawake wanna wa jf aiseeee huku kajiweka picha sijui ya kudownload kutana nae mamaaaaaa kibwengo wa asubuhi
Enhe tunachuja sura za baba π πmideko mrembo mkali worldwide na wewe unatumia vichujio?
Binafsi sijali.Kwani wanaume wenyewe mnajisikiaje kuhusu suala hilo? Tuanzie hapo .
Utelwzi kitu muhimu sana kikubwa unyevunyevu tuππIla hamjui wanawake tunapitia magumu mangapi mpaka tunaamua kuedit picha zetu.
Mitaani hatutakiwi basi hata wa mitandaoni nao watushinde?
Hamnaga hiyo!
Ila mie nawapenda sana wanaume na ngai, hali yoyote atakayokutana nayo lazima ailambe.
Muhimu anazo sehemu za siri tu.
Katoa mfano, wasukuma wengi weusi asingeweza kusema MmbuluSawa umechangia mkuu lakini msukuma katajwa wapi kwenye uzi?
Wewe huwa tunakopa hisia kumbe hujui?Hiyo dhana uliyosema ndio maana wanawake tunaendelea kutumia filters pamoja na editing.
Nina imani katika kukojoa, hata ukiwa na demu mwenye sura kama ya bibi utakojoa tu.
Upwiru ni kitu kingine bro.
Watu wanamaliza haja kwa mbuzi, itakuwa demu mwenye sura ya baba?
Hii pia ni sababu mkuu. Niliwahi kutana na mdada tuliyecaht nae siku nyingi sana. Nilipomuona nilistaajabu sana.Uzuri nilimwambiaNa haya ma' filter ndio yanawachelewesha kuolewa kwasababu wanajidanganya kuwa ni wazuri na wanasoko huko mtaani wanatumia muda mwingi kuringa na kubadilisha wanaume mataokeo yake wanaume wakishaanza nao mahusiano wakiwavua nguo mara moja wanachokutana nacho plus balaa la UTI na kisamaki hswarudi tena. Au wanaanza kuwatafutia sababu.
Waha na wakulya au wamasai unaaapeleka wapi mkuu?Katoa mfano, wasukuma wengi weusi asingeweza kusema Mmbulu
Mwanaume anayetumia filter au mkorogo ana ualakini mkubwa sana.Hao kina Mondi, RayVanny, Jux nk, wote wanatumia filter. Hao ni watu maarufu, halafu kuna wale hawana majina kama mimi nao wanatumia. Hapo nashangaa kwanini watuone sisi wanawake ndiyo tatizo. Victims and perpetrators wapo pande zote