Dipresheni hiyo sasa si bora mjiuzege tuHata mume mmoja hatoshi, basi tu tunajipunja.
Wanawake wakiolewa wanazingua.Vilio ni vingi sana majumbani wengi wa wanawake shoo hamziwezi shuhuda tunazipata kwenye vijiwe vyetu vya kahawa
Visingizio ni vingi mara mseme mmechoka mara sijui tunapiga shoo kila siku kama tumeoa midori ya ngono n.k
Ukiachana na sex kama kazi ya kuingiza pesa wanawake shoo mnafanya kufosiwa kwahiyo kunjueni mioyo tu tukiwa na mipango kando au tukiwaolea wasaidizi.
Note: Mke mmoja hatoshi
Kwanini tujiuze?Dipresheni hiyo sasa si bora mjiuzege tu
Kwahyo mtoe bure bureKwanini tujiuze?
Tutoe nini?Kwahyo mtoe bure bure
Kwan ulivyosema mmoja hatoshelezi ulimaanisha nini. Toeni dipredhenišTutoe nini?
Ni mmoja kwa kumiLakini Pia Kuna Wanawake Ambao Nao Wanahitaji Shoo Kila Wakati Lakini Cha Kusikitisha ni Kwamba,,Wanaume Zao Wanasababu Vivyo Hivyo Kama Ulivyoandika Hapo Kwa Thridi Yako,,,,Tunawashauri Nini Wanawake Hao Wanaopitia Hiyo Kadhia?
Kama mme mmoja hatoshi je unaweza kubebea mimba waume wawili kwa wakati mmoja ? Kama ukizaa kwa zamu utawahudumia watoto. Mwanaume akiwa na wake wawili hata kipato chake kinaongezeka. Ila mwanake akiwa na waume wawil anakuwa tegemezi zaidi. Kuwa na mwanamke mmoja ni kinyume na sheria za asiri.Hata mume mmoja hatoshi, basi tu tunajipunja.
Hii ni mimi kwa mke wanguLakini Pia Kuna Wanawake Ambao Nao Wanahitaji Shoo Kila Wakati Lakini Cha Kusikitisha ni Kwamba,,Wanaume Zao Wanasababu Vivyo Hivyo Kama Ulivyoandika Hapo Kwa Thridi Yako,,,,Tunawashauri Nini Wanawake Hao Wanaopitia Hiyo Kadhia?
WasemaNi mmoja kwa kumi
Nilimaanisha mume.Kwan ulivyosema mmoja hatoshelezi ulimaanisha nini. Toeni dipredheniš
Mume mmoja hatoshi.Kama mme mmoja hatoshi je unaweza kubebea mimba waume wawili kwa wakati mmoja ? Kama ukizaa kwa zamu utawahudumia watoto. Mwanaume akiwa na wake wawili hata kipato chake kinaongezeka. Ila mwanake akiwa na waume wawil anakuwa tegemezi zaidi. Kuwa na mwanamke mmoja ni kinyume na sheria za asiri.
Sijawahi pata mwanamke anayependa shooo...namtafuta sana!Lakini Pia Kuna Wanawake Ambao Nao Wanahitaji Shoo Kila Wakati Lakini Cha Kusikitisha ni Kwamba,,Wanaume Zao Wanasababu Vivyo Hivyo Kama Ulivyoandika Hapo Kwa Thridi Yako,,,,Tunawashauri Nini Wanawake Hao Wanaopitia Hiyo Kadhia?
Mkuu mwanaume hupaswi kuwa na mwanamke mmoja. Ila kama huwezi kuwahudumia, kuwatunza na kuwaongoza ni bora hata huyo mmoja usiwe nae.Vilio ni vingi sana majumbani wengi wa wanawake shoo hamziwezi shuhuda tunazipata kwenye vijiwe vyetu vya kahawa
Visingizio ni vingi mara mseme mmechoka mara sijui tunapiga shoo kila siku kama tumeoa midori ya ngono n.k