Wanawake kunjueni mioyo tu waume zenu tuwe na wake wengi

Wanawake kunjueni mioyo tu waume zenu tuwe na wake wengi

Vilio ni vingi sana majumbani wengi wa wanawake shoo hamziwezi shuhuda tunazipata kwenye vijiwe vyetu vya kahawa

Visingizio ni vingi mara mseme mmechoka mara sijui tunapiga shoo kila siku kama tumeoa midori ya ngono n.k

Ukiachana na sex kama kazi ya kuingiza pesa wanawake shoo mnafanya kufosiwa kwahiyo kunjueni mioyo tu tukiwa na mipango kando au tukiwaolea wasaidizi.

Note: Mke mmoja hatoshi
Ngono ngono ngono.
Kizazi gani hiki
 
Kama mme mmoja hatoshi je unaweza kubebea mimba waume wawili kwa wakati mmoja ? Kama ukizaa kwa zamu utawahudumia watoto. Mwanaume akiwa na wake wawili hata kipato chake kinaongezeka. Ila mwanake akiwa na waume wawil anakuwa tegemezi zaidi. Kuwa na mwanamke mmoja ni kinyume na sheria za asiri.
Sahihi kabisa!
 
Mwanamke tendo la ndoa analiwaza siku 1-5 kwa mwezi hasa akitoka period tofauti na mwanaume kila akiona skirt fupi bakari kichwa katokeza juu
Risechi Kutoka Wapi Hii??Kwa hiyo Usipoona Hizo Sketi fupi Teeh?Na je Kwa Hao Wanaume Wasioona Hizo Sketi Fupi Inakuaje?Lakini Kwa Wale Wazionao Na Bado Kichwa Wazi Anabaki Teeh,,Nao Unwazungumzia vipi?
 
Risechi Kutoka Wapi Hii??Kwa hiyo Usipoona Hizo Sketi fupi Teeh?Na je Kwa Hao Wanaume Wasioona Hizo Sketi Fupi Inakuaje?Lakini Kwa Wale Wazionao Na Bado Kichwa Wazi Anabaki Teeh,,Nao Unwazungumzia vipi?
Ndio nikakwambia ni kumi kwa mmoja wengi mihemko iko juu kushinda maelezo
 

Vilio ni vingi sana majumbani wengi wa wanawake shoo hamziwezi shuhuda tunazipata kwenye vijiwe vyetu vya kahawa

Visingizio ni vingi mara mseme mmechoka mara sijui tunapiga shoo kila siku kama tumeoa midori ya ngono n.k

Ukiachana na sex kama kazi ya kuingiza pesa wanawake shoo mnafanya kufosiwa kwahiyo kunjueni mioyo tu tukiwa na mipango kando au tukiwaolea wasaidizi.

Note: Mke mmoja hatoshi
Mke hatoshi lakini uadilifu mnao ?. Kuwa hudumia wote kwa haki na usawa. Wengi mnaongeza kwa mihemko ya kimwili tu , mnaanza kutesa watoto wa watu.
 


Mke hatoshi lakini uadilifu mnao ?. Kuwa hudumia wote kwa haki na usawa. Wengi mnaongeza kwa mihemko ya kimwili tu , mnaanza kutesa watoto wa watu.
Kazi ya kulea watoto ni ya wote ila uadilifu kwenye tendo la ndoa ni 💯 provided maana ukiwa pekeako sababu zinakuwa nyingi sana
 
Wanawake wakiolewa wanazingua.

Sometimes wanasababisha wanaume waendelee kuwa na mpango wa kando au kununua malaya
Shoo kwao wanafanya kwakuwa hawana namna ila siku za ashiki ni chache sana unaweza chochea gari masaa mawili na lisiwake cha ajabu wanataka wawe pekeyao tu
 
Back
Top Bottom