Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngono ngono ngono.Vilio ni vingi sana majumbani wengi wa wanawake shoo hamziwezi shuhuda tunazipata kwenye vijiwe vyetu vya kahawa
Visingizio ni vingi mara mseme mmechoka mara sijui tunapiga shoo kila siku kama tumeoa midori ya ngono n.k
Ukiachana na sex kama kazi ya kuingiza pesa wanawake shoo mnafanya kufosiwa kwahiyo kunjueni mioyo tu tukiwa na mipango kando au tukiwaolea wasaidizi.
Note: Mke mmoja hatoshi
Dah! Unaharibu sasa!!Hata mume mmoja hatoshi, basi tu tunajipunja.
Sahihi kabisa!Kama mme mmoja hatoshi je unaweza kubebea mimba waume wawili kwa wakati mmoja ? Kama ukizaa kwa zamu utawahudumia watoto. Mwanaume akiwa na wake wawili hata kipato chake kinaongezeka. Ila mwanake akiwa na waume wawil anakuwa tegemezi zaidi. Kuwa na mwanamke mmoja ni kinyume na sheria za asiri.
Kweli kabisa tuache kuwakandamiza wanawake. Nak wawe na uhuru wakiwa na wanau.e wengi. Sasa mwanaune kibamia kama mzabzab kwa nini mwanamke asipewe uhuru wakuwa na kibamia na biringanya...not fair kabisa. Atoto upo sahihi mume mmoja hatoshiHata mume mmoja hatoshi, basi tu tunajipunja.
Nitakupigia mkuu🤣.Kweli kabisa tuache kuwakandamiza wanawake. Nak wawe na uhuru wakiwa na wanau.e wengi. Sasa mwanaune kibamia kama mzabzab kwa nini mwanamke asipewe uhuru wakuwa na kibamia na biringanya...not fair kabisa. Atoto upo sahihi mume mmoja hatoshi
Usijali sim ipo hewani all the timeNitakupigia mkuu🤣.
Wapo wenzako Wanao Hao Mabibie Lakini Cha Ajabu Hao Wenzako Hawapendi Shoo,,Yale yale Upele Humuota Asie Na Ukucha,,Muumba Huwaga Hakupi Vyote Lazima abalansi ili Maisha YaendeSijawahi pata mwanamke anayependa shooo...namtafuta sana!
Risechi Kutoka Wapi Hii??Kwa hiyo Usipoona Hizo Sketi fupi Teeh?Na je Kwa Hao Wanaume Wasioona Hizo Sketi Fupi Inakuaje?Lakini Kwa Wale Wazionao Na Bado Kichwa Wazi Anabaki Teeh,,Nao Unwazungumzia vipi?Mwanamke tendo la ndoa analiwaza siku 1-5 kwa mwezi hasa akitoka period tofauti na mwanaume kila akiona skirt fupi bakari kichwa katokeza juu
Ndio nikakwambia ni kumi kwa mmoja wengi mihemko iko juu kushinda maelezoRisechi Kutoka Wapi Hii??Kwa hiyo Usipoona Hizo Sketi fupi Teeh?Na je Kwa Hao Wanaume Wasioona Hizo Sketi Fupi Inakuaje?Lakini Kwa Wale Wazionao Na Bado Kichwa Wazi Anabaki Teeh,,Nao Unwazungumzia vipi?
Mke hatoshi lakini uadilifu mnao ?. Kuwa hudumia wote kwa haki na usawa. Wengi mnaongeza kwa mihemko ya kimwili tu , mnaanza kutesa watoto wa watu.Vilio ni vingi sana majumbani wengi wa wanawake shoo hamziwezi shuhuda tunazipata kwenye vijiwe vyetu vya kahawa
Visingizio ni vingi mara mseme mmechoka mara sijui tunapiga shoo kila siku kama tumeoa midori ya ngono n.k
Ukiachana na sex kama kazi ya kuingiza pesa wanawake shoo mnafanya kufosiwa kwahiyo kunjueni mioyo tu tukiwa na mipango kando au tukiwaolea wasaidizi.
Note: Mke mmoja hatoshi
Sasa kwa mume mnatoaga nini au pesa 😂Nilimaanisha mume.
Faraja🤣Sasa kwa mume mnatoaga nini au pesa 😂
Kazi ya kulea watoto ni ya wote ila uadilifu kwenye tendo la ndoa ni 💯 provided maana ukiwa pekeako sababu zinakuwa nyingi sana�
Mke hatoshi lakini uadilifu mnao ?. Kuwa hudumia wote kwa haki na usawa. Wengi mnaongeza kwa mihemko ya kimwili tu , mnaanza kutesa watoto wa watu.
Wabarikiwe sana sana sana wanawake wanaojiuza, yaani wabarikiwe mno.Wanawake wakiolewa wanazingua.
Sometimes wanasababisha wanaume waendelee kuwa na mpango wa kando au kununua malaya
Shoo kwao wanafanya kwakuwa hawana namna ila siku za ashiki ni chache sana unaweza chochea gari masaa mawili na lisiwake cha ajabu wanataka wawe pekeyao tuWanawake wakiolewa wanazingua.
Sometimes wanasababisha wanaume waendelee kuwa na mpango wa kando au kununua malaya
Hawa uzi wala hawatoi bure. Bora na heri wale wao uza moja kwa moja.Kwahyo mtoe bure bure
Sio mmoja kwa kumi ni mia kwa mmoja bro.Ni mmoja kwa kumi