Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo kuu la kuoa ni kugegedana na sio kuhudumiana kama ni kuhudumiana pia ni katika tendo la ndoa humo humoMkuu mwanaume hupaswi kuwa na mwanamke mmoja. Ila kama huwezi kuwahudumia, kuwatunza na kuwaongoza ni bora hata huyo mmoja usiwe nae.
BUT, KAMWE usiongeze mwanamke kwa sababu za kingono/Sex pekee. Hili litakuja kugharimu maisha yako siku za mbeleni.
Be a Man, have a purpose in Life then ishi kutokana na kanuni zako na misingi uliyojiwekea.
Kwenye historia ya AFRICA hapo kale, hakuna jamii ambayo wanaume walikuwa wanaoa Mke mmoja, so huu utamaduni wa mke mmoja ni idea za wazungu zenye maslahi kiuchumi zaidi and nothing else.
Uko wap?Hata mume mmoja hatoshi, basi tu tunajipunja.
😂Hawa uzi wala hawatoi bure. Bora na heri wale wao uza moja kwa moja.
Faraja kwani tuna dipresheni😂Faraja🤣
Mume mmoja hatoshi huku we mvivu wa kutoa kitumbua😀Hata mume mmoja hatoshi, basi tu tunajipunja.
Akitoka period au akiingia period? Kwa uzoefu wangu siku pekee ambazo ni rahisi kupewa tunda na kufurahia show ni hizo siku mwanamke akiwa kwenye joto.Mwanamke tendo la ndoa analiwaza siku 1-5 kwa mwezi hasa akitoka period tofauti na mwanaume kila akiona skirt fupi bakari kichwa katokeza juu
Wanawake wa hivyo ratio ni ndogo sana yani katika kundi la wanawake 10 wanaokuwa na high sex drive huwa si zaidi ya 3. Wengi wa wanawake ni wavivu kwenye sex ndio maana kwenye kila ndoa kumi ndoa 3 wanawake ni wachepukaji.Lakini Pia Kuna Wanawake Ambao Nao Wanahitaji Shoo Kila Wakati Lakini Cha Kusikitisha ni Kwamba,,Wanaume Zao Wanasababu Vivyo Hivyo Kama Ulivyoandika Hapo Kwa Thridi Yako,,,,Tunawashauri Nini Wanawake Hao Wanaopitia Hiyo Kadhia?
Mwanamke hafanyi vizuri akiwa hana competitor. Thats how they are programmed. Atajitahidi kuwa on her best behaviours kabla hujamuoa sababu anajua uko na options za kum drop na kuchukua mtu mwengine anytime. So anawania ile nafasi ya kuwa mke kwa hali na mali😁!Kazi ya kulea watoto ni ya wote ila uadilifu kwenye tendo la ndoa ni 💯 provided maana ukiwa pekeako sababu zinakuwa nyingi sana
Ndioooo! We huoni kila siku mnavyotufokea humu!! Ni diprresheni hiyo🤣🤣🤣Faraja kwani tuna dipresheni😂
Ooooh! Nisamehe, nilisahau🤣🤣🤣Mume mmoja hatoshi huku we mvivu wa kutoa kitumbua😀
Unastahili kiboko cha Baltasar EngongaOoooh! Nisamehe, nilisahau🤣🤣🤣
Hapana, nisamehewe tu🤣Unastahili kiboko cha Baltasar Engonga
Hapana, nisamehewe tu🤣
Kabisa kabisa,ila mume awe na inayoridhidha pia..Mnajilazimishaga tu kwa ajili ya kuhitaji pesa za wanaume lakini mkioleka majumbana na mkiwa na uhakika wa milo mitatu mnadhihirisha uhalisia wenu
Mwamke yoyote akiridhika na show yako kwako anakuwa anapenda show sana tu, hakuna mwanamke asiyependa show 'kali' kama drill yako amekuwa thrilled nayo.Sijawahi pata mwanamke anayependa shooo...namtafuta sana!
Mke wako analala vipi na chupi, huyo ni mke au ni jirani?Wanawake wanashangaza sana, yeye anajifanya kalala usingizi na chupi yake hapo mimi mpaka ninyonge Abdalla Kichwa Wazi ndio nipate usingizi.
Nyinyi wanawake mbinguni hamuingii
Mke wako analala vipi na chupi, huyo ni mke au ni jirani?
Huyo atakuwa anaogopa kupata mimba ndio maana anakuwa free kutoa akikaribia period kwakuwa anajua yai lishapasukaAkitoka period au akiingia period? Kwa uzoefu wangu siku pekee ambazo ni rahisi kupewa tunda na kufurahia show ni hizo siku mwanamke akiwa kwenye joto.