Wanawake kunjueni mioyo tu waume zenu tuwe na wake wengi

Wanawake kunjueni mioyo tu waume zenu tuwe na wake wengi

Mkuu mwanaume hupaswi kuwa na mwanamke mmoja. Ila kama huwezi kuwahudumia, kuwatunza na kuwaongoza ni bora hata huyo mmoja usiwe nae.

BUT, KAMWE usiongeze mwanamke kwa sababu za kingono/Sex pekee. Hili litakuja kugharimu maisha yako siku za mbeleni.

Be a Man, have a purpose in Life then ishi kutokana na kanuni zako na misingi uliyojiwekea.

Kwenye historia ya AFRICA hapo kale, hakuna jamii ambayo wanaume walikuwa wanaoa Mke mmoja, so huu utamaduni wa mke mmoja ni idea za wazungu zenye maslahi kiuchumi zaidi and nothing else.
Lengo kuu la kuoa ni kugegedana na sio kuhudumiana kama ni kuhudumiana pia ni katika tendo la ndoa humo humo

Hata wazee wetu walioa mama zetu wakawakabidhi mashamba wajilimie means wajihudumie
 
Mwanamke tendo la ndoa analiwaza siku 1-5 kwa mwezi hasa akitoka period tofauti na mwanaume kila akiona skirt fupi bakari kichwa katokeza juu
Akitoka period au akiingia period? Kwa uzoefu wangu siku pekee ambazo ni rahisi kupewa tunda na kufurahia show ni hizo siku mwanamke akiwa kwenye joto.
 
Lakini Pia Kuna Wanawake Ambao Nao Wanahitaji Shoo Kila Wakati Lakini Cha Kusikitisha ni Kwamba,,Wanaume Zao Wanasababu Vivyo Hivyo Kama Ulivyoandika Hapo Kwa Thridi Yako,,,,Tunawashauri Nini Wanawake Hao Wanaopitia Hiyo Kadhia?
Wanawake wa hivyo ratio ni ndogo sana yani katika kundi la wanawake 10 wanaokuwa na high sex drive huwa si zaidi ya 3. Wengi wa wanawake ni wavivu kwenye sex ndio maana kwenye kila ndoa kumi ndoa 3 wanawake ni wachepukaji.

Inakuwa 3:10

Ila kwa kundi la wanaume 10 ambao wana high sex drive ni 9 mwenye low drive ni mmoja. Kwenye kila ndoa kumi ndoa 9 zina wanaume wachepukaji.

Inakuwa 9:10
 
Kazi ya kulea watoto ni ya wote ila uadilifu kwenye tendo la ndoa ni 💯 provided maana ukiwa pekeako sababu zinakuwa nyingi sana
Mwanamke hafanyi vizuri akiwa hana competitor. Thats how they are programmed. Atajitahidi kuwa on her best behaviours kabla hujamuoa sababu anajua uko na options za kum drop na kuchukua mtu mwengine anytime. So anawania ile nafasi ya kuwa mke kwa hali na mali😁!

Ikatokea ushamuoa mnakaa pamoja anaanza tabia ya kuchukulia poa poa. Anajua kuoa ni gharama huwezi kuvunja ndoa ila utavumilia upuuzi wake tu wa kukupa mbunye kwa mgao😂!! Afterall ana cheti cha mkataba wa kuishi na wewe😁

Tunachoamua ni kusaka mashine za mizagamuano pembeni. Na wao wanakuwa katika competition na mkeo so wanafanya the best they can wakiamini utashawishika kumdrop mke uwaoe wao.
 
Hapana, nisamehewe tu🤣
Screenshot_20241118-064511~2.png
 
Mnajilazimishaga tu kwa ajili ya kuhitaji pesa za wanaume lakini mkioleka majumbana na mkiwa na uhakika wa milo mitatu mnadhihirisha uhalisia wenu
Kabisa kabisa,ila mume awe na inayoridhidha pia..
Kwa sababu ukichunguza vizuri wanawake wanaochepuka kwa asilimia kubwa ni wale wanaopewa kilakitu na waume zao
 
Akitoka period au akiingia period? Kwa uzoefu wangu siku pekee ambazo ni rahisi kupewa tunda na kufurahia show ni hizo siku mwanamke akiwa kwenye joto.
Huyo atakuwa anaogopa kupata mimba ndio maana anakuwa free kutoa akikaribia period kwakuwa anajua yai lishapasuka
 
Back
Top Bottom