Pre GE2025 Wanawake kuwa viongozi/mamlaka si sahihi ni suala lisilo na maadili, baki nyumbani mkitumikia familia zenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tena wengine mmesomeshwa na mama zenu wakati baba zenu hawapo/ wapo bize na kuhonga/kulewa. Wamewahangaikia wee mpaka mmejipata. Lakini mkija hapa ni kulaumu tu!
Kaaziiii kweli kweli!
hapo unaelezea story ya single maza Ndomana tunataka kuwarudisha nyumbani mtulie mlee watoto
 
ndomana waarabu hili swala awataki kabisa na uwapenda sana wake zao na uwezi sikia vikelele kwao zaidi ya watu wa magharibu kuwavisha bibomu kichwa ikiwa wao tu wameshindwa mpa KAMALA nchi
Mkuu usisomeshe mwanao wa kike shule, muweke nyumbani umlee aje kuwa mke bora. Paza sauti na kwenye ukoo wako wote wafanye hivyo!
 
N
Sio wote tunaamini hayo maandiko.
 
PUNGUZENI JAZIBA TUNAWAKUMBUSHA TU MBONA HALI YA HEWA IMEKUA NZITO HUMU KWANZA MNATUMIA ID ZA KIUME KIASI BADO TUNAENDELEA KUWAKUMBUSHA
 
Kwani wanaume hamuwezi kupika maandazi?
Tena siku hizi baba ntilie wengi mpk kwenye masherehe mnapika 😹😹
Usinikumbushe wanajua kuunga mandondo hatar sana πŸ˜„
 
PUNGUZENI JAZIBA TUNAWAKUMBUSHA TU MBONA HALI YA HEWA IMEKUA NZITO HUMU KWANZA MNATUMIA ID ZA KIUME KIASI BADO TUNAENDELEA KUWAKUMBUSHA
Acheni kulalama kama watoto wadogo!
Kuna watu bila jitihada za mama zao wasingefika hapo walipo, japokuwa wanao baba. Alafu we nae unakuja kuleta stories za kukaa nyumbani! KINI?!!
 
😹😹 Sugar ishapanda tayari..!!
Sikiliza without mapombou wewe km mwanamke tu.!!
Haya kwa huo uwanaume wako unaongoza nini zaidi ya mkia wako? 🀣
Wewe umeolewa au ni single maza Mbona una hasira sanaπŸ˜„
Nyie ndio hua mnajifanya mafeminine mna hasira za mimba changa zinazotokana na kutelekezwa na wanaume
 
Acheni kulalama kama watoto wadogo!
Kuna watu bila jitihada za mama zao wasingefika hapo walipo, japokuwa wanao baba. Alafu we nae unakuja kuleta stories za kukaa nyumbani! KINI?!!
Hasira za nini tunawakumbusha tu maana siku hizi mlivyo na stress za utawala mnavuta mimoshi mpaka mnasahau jinsia yenu
 
😹😹😹 wii nimecheka eti lete paprika πŸ˜‚

Chuzi zito anatoa kuliko mwanamke..!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wii siis hatujui paprika wao wanajua hadi wali wa kufukiza πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…