Wanawake mitandaoni mnalalamika hamuolewi wakati huku kitaa mnatuambia 'mimi nina mtu wangu'

Wanawake mitandaoni mnalalamika hamuolewi wakati huku kitaa mnatuambia 'mimi nina mtu wangu'

Ninaheshimu maono/mawazo yako.

Hoja yako bado haijaleta mashiko kwangu(mimi binafsi) kwa sababu zifuatazwo;
1.Kwa nini mwanamke alishindwa kuzuia kukandamizwa na mwanaume?Kama mwanaume alimzidi/amemzidi nguvu mwanamke hauoni kuwa tayari wanawake wameonyesha udhaifu? Mwenye nguvu atamtawala dhaifu.

2.Katika upande wa elimu,mimi bado naona mwanamke yuko chini sana.Hata nikisikia mwanamke amekuwa Tanzania One bado haijasaidia mimi kubadilisha fikra hizi.Mimi ninaamini elimu bora ni ile ya kufikiri na siyo kukariri.Katika post yangu utaona nimezungumzia watu/wanasayansi ambao waligundua vitu.Hata leo ukienda ulaya bado wanaume wametia fora katika modern physics wakiingiza theories mpya katika muda wa miaka kati ya 2000 hadi 2022.Hii elimu yetu ya Tanzania ni hovyo kabisa.Watu wanashindana kukariri tu.

Hapa Tanzania elimu ipo at least kwa vyuo vya kati,ufundi na vyuo vikuu.Ambapo asilimia kubwa ya waliotoka na kuacha ideas mpya ni wanaume.Hata ile elimu ya mkoloni tuliorithi 1960s,mnamo 1963 ilitupatia mwanasayansi mmoja pekee hadi leo ambaye alikuwa mwanaume ERASTO MPEMBA aliyeleta MPEMBA EFFECT FACT.

Mimi siwezi muwezesha mwanamke alafu aje lingana na mimi.Ajiwezeshe mwenyewe Ili aweze kulingana na mimi hata akija kunizidi itapendeza zaidi,ila ajiwezeshe mwenyewe.Tatizo wanawake wanapenda kulia lia sana ili kutafuta huruma kwa jamii(wanaume).

Tazama hizi attachments katika tano bora hakuna mwanamke hata mmoja katika karne ya 21.Wanawake wasikie 50/50 kwenye bomba.

#Maoni yangu.View attachment 2248362View attachment 2248363View attachment 2248364View attachment 2248365View attachment 2248366View attachment 2248367View attachment 2248368
Mkuu suala la udhaifu inategemea kwa sababu the world is not all about physical strength tu

Mbona kwenye masuala ya ngono na mapenzi (moja ya mambo yanayorun dunia) wanaume ni dhaifu kuliko wanawake

Anyway ondoeni mfumo dume msiwapangie wanawake sheria wala msiwalimit kufanya mambo fulani then sit aside and watch the show mbona mkiambiwa muache mfumo dume hamtaki mnaogopa nini si muuache muone
 
Mkuu suala la udhaifu inategemea kwa sababu the world is not all about physical strength tu

Mbona kwenye masuala ya ngono na mapenzi (moja ya mambo yanayorun dunia) wanaume ni dhaifu kuliko wanawake

Anyway ondoeni mfumo dume msiwapangie wanawake sheria wala msiwalimit kufanya mambo fulani then sit aside and watch the show mbona mkiambiwa muache mfumo dume hamtaki mnaogopa nini si muuache muone
🤔🤔
 
Wa mtandaoni ni manungayembe!! Nungayembe hata akiwa na wanaume 10 bado atakwambia anataka mwingine.
 
Inashangaza sana ukikutana nao huku kitaa utaskia "MI NNA MTU WANGU" lakini wakiingia mitandaoni wanalalamika hawapati wanaume na wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuwalaumu wanaume wanaoishi na mke mmoja kwa kuwataka waongeze idadi!

Jamani wanawake mnachokitafuta ni nini hasa?
Si wanakuangalia kwanza kama uko na gari, wallet imetuna ... Alaf hayo mengine mtajua mbele
 
Wataolewa na nani wakati ukimsalimia tyu yeye anawaza kukuomba vocha ata salamu ataki
 
Mwanamke anaweza kuacha ukiwa hauna Kazi..... Lkn mwanamke huyohuyo anaweza kukuacha ukiwa na Kazi nyingi sana...... Mwanamke hana tofauti na kinyonga
Au unampa pesa na chochote anachotaka ila analalika haumjali!
 
Baadhi ya watu kwenye jamii yetu wana tabia mbaya sana ya kuwalundika watu pamoja.

Sijui ni mabaki ya Ujamaa au ujima.
Mkuu kiranga kama hauchakati mbususu Kwa fujo utaona wanawake ni waaminifu mno na ni viumbe wa kustahili huruma ila ukizichakata mpka unuke mbususu utagundua hawa viumbe hawaelewek , unakuta mdada anaheshimika na jamii nzima ila kuna mhuni anaichakata kichakani.
 
Mkuu kiranga kama hauchakati mbususu Kwa fujo utaona wanawake ni waaminifu mno na ni viumbe wa kustahili huruma ila ukizichakata mpka unuke mbususu utagundua hawa viumbe hawaelewek , unakuta mdada anaheshimika na jamii nzima ila kuna mhuni anaichakata kichakani.
Inategemea unaongelea wanawake gani, wa wapi, wenye elimu gani, wenye exposure gani etc.

Usilaumu wanawake kwa sababu wanawake wa kijijini kwenu washamba.

Kama wanawake wa kijijini kwenu washamba, sema wanawake wa kijijini kwenu washamba.

Unaweza kufikiri tatizo ni wanawake, kumbe ukakuta tatizo ni kiwango cha elimu kijijini kwenu.
 
Inategemea unaongelea wanawake gani, wa wapi, wenye elimu gani, wenye exposure gani etc.

Usilaumu wanawake kwa sababu wanawake wa kijijini kwenu washamba.

Kama wanawake wa kijijini kwenu washamba, sema wanawake wa kijijini kwenu washamba.

Unaweza kufikiri tatizo ni wanawake, kumbe ukakuta tatizo ni kiwango cha elimu kijijini kwenu.
Mkuu hatuwalaumu kbsa , tunawachukulia tu kma vyombo vya starehe basi .
 
Back
Top Bottom