Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ukiskia kuna kibarua cha kuvuna mahindi tuambizane mapema😄😄ntavuna na kubebaHahah 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiskia kuna kibarua cha kuvuna mahindi tuambizane mapema😄😄ntavuna na kubebaHahah 🤣🤣🤣
Huku saizi mda wa kupanda, uje upande upate hela😃Ukiskia kuna kibarua cha kuvuna mahindi tuambizane mapema😄😄ntavuna na kubeba
Hela yako tuuNaomba nisizungumze mengi...View attachment 2849159
Kupanda hamna hela..... zamani unapiga kazi masaa tano unalipwa 4000Huku saizi mda wa kupanda, uje upande upate hela😃
Hapo kawaida sana sijaona tatizo lolote kwenye hii pichaNaomba nisizungumze mengi...View attachment 2849159
asa si ilikua zamaniKupanda hamna hela..... zamani unapiga kazi masaa tano unalipwa 4000
😂 unakuta mdada anakazana kuivuta ifike mahali fulani wakat n fupiPa kujizuia ndo pananichosha mtu unavaa nguo mwenyew alafu unahangaika kuivuta si wajiachie tu😀
Kabisa mwanamke ni kutawaliwa tuu. Talibans wanajielewa sanaHapa ndio nawaelewa TALIBAN. Wanawake watakiwa kutawaliwa na wanaume. Ukiwapa Uhuru ndio kama ivyo wanaamua kutembea uchi. Pumbavu sana.
Ubaya hela haziondoagi upambavu uliomjaa mtu. So upumbavu na ulimbukeni wenu mnasingiza pesa mnazozipatia ukubwaniUkiwa na hela ni kawaida sana
Kama saivi ina hela mbona we hujaenda umekaa hapo counter unatembeza likes🤣kilimo ni ntitiasa si ilikua zamani