kwani unao wangapi😳😳😳Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Mkuu , nakusalimia!Basi mm nna shida .wanaume walivyo wengi hv nimrudie ex😂😂😂...
Mkuu , nakusalimia!
Jamani shouger pole kwa kudate na local chicken
Maisha ni mafupi Mkuu! raha ni kujipa mwenyewe, hata mfalme Selemani alisema maisha ni kunywa, kula na kufurahi! Nilikuwa nakusalimia tu mkuu sikuwa na zaidi!🙈🙈🙈🙈🙊🙊🙊🙊🙉🙉🙉
Maisha ni mafupi Mkuu! raha ni kujipa mwenyewe, hata mfalme Selemani alisema maisha ni kunywa, kula na kufurahi! Nilikuwa nakusalimia tu mkuu sikuwa na zaidi!
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Sawa! endeleea kufurahi maisha katika jamvi letu pendwa mkuu!Mie nipo mkuu
Sawa! endeleea kufurahi maisha katika jamvi letu pendwa mkuu!
Mi sijui huwa wanawaza nn kurudi nyuma..... kwakweli mi siwezi.Aseh ni wanawake wachache sana wenye uelewa na msimamo huu, kwamba, uhusiano ukipita umepita, kurudi nyuma ni kujidharirisha.....
Km hiyo ni sifa moja wapo,then nafaa basiUnafaa kuwa mke
Mi sijui huwa wanawaza nn kurudi nyuma..... kwakweli mi siwezi.
Yaaani ni fedheha.....imagn ulikuwa main chick alaf unakuja jikuta mchepuko au kipoozeo.wao hawapotezi kitu.Kujishusha..unainekana km umekosaaa...mm ht km ulikuwa mzuri kitandan hapana ...
Aiseeee sijaolewa Ila katika kitu sijawai na Wala sifikirii kufanya ni kuliwa na ex wng.
We are done....we are done.
Uzuri wanakijuaga kichwa changu hawathubutugi ata kuniongelesha useng* huo.na sijawai achana na mtu kiugonvi wote kiroho safi.wakinipigia ni kulaumu baada ya kuumizwa huko ama wamenikumbuka tu.
Msalimie shemejiYani nimeolewa alhamdulillah nikachepuke na mtu ambae hakuona thamani yangu akaniweka ndani kwa kipi?
Mimi ukishakua ex haijalishi tumeachana vipi kwa wema kwa uzur tayar nimeshajenga ukuta wewe huko mie huku
Sasa nna mume ndani nichepuke kisa nn?? Ni heri nimwambie ukweli ni mume wangu bana leo sjafrahia ni heri niwe wazi kwake ni halali yangu kuliko kwenda kujdhalilisha nje
Siwezi kuchepuka sio na ex tu na yeyote yule mbali na husband.
Msalimie shemeji
Km hiyo ni sifa moja wapo,then nafaa basi
Kuna sehem nimesema atakua mwanaume!?Mwanamke atabaki kuwa mwanamke tu