Wanawake sikuhizi ni wauzaji in “Stealth-Mode”Mi naamini mapenzi ni hisia, kila mmoja anaonyesha hisia zake kwa mwenzake na maisha yanaendelea.
Sasa kumekuwa na tabia kama ya kununua huduma, ili mwanaume apate penzi lazima amgharamie mwanamke, hata kama mwanamke ana kazi au biashara nzuri, bado ataomba apewe fedha; ukishindwa kumpatia, ndipo timbwili timbwili linapoanza.
Sasa mimi najiuliza, kama unauza si bora useme? Ili tujue tunanunua huduma. Na je, hisia zenu zipo kwenye pesa tu?
😂😂😂 MorningHisia zako ziko kwenye hela; hilo ni pepo inabidi ulikemee
Hakuna ubaya ukimuomba mtu wako pesa hata mara moja .Pesa sio mapenzi!
Ndio maana hata kuwa waaminifu inawawia vigumu sababu kama pesa ndio password na sio upendo wako basi jua tu kuwa huwezi kuwa na uhusiano na mtu mmoja.
Bidhaa siku zote haikataagi mnunuzi 😅 msihalalishe biashara ya ngono kwa style hio.
Leo ntakupa laki utakuwa na mimi akija wa laki na nusu nae utampa mbunye hapo kuna mapenzi kweli?
Duh, kweli vijana wana kazi sikuhizi! Kwahio we penzi hutoi hadi upewe hela?
Yani mwanaume humuhitaji bila shaka unaweza kukaa milele bila kuhitaji mwanaume wewe?
Unapiga chafya inatoka sababu ipo hapa na dawa ya kuondokana na hilo tatizo
Ila pia kuna wenzako ambao wanatupa mapenzi bila invoice mbona[emoji3] na hawalalamiki kupewa hela kama wewe!
Huwa ndio hapo naamini kweli Mungu humpa kila mtu wa kufanana nae.
Pesa sio mapenzi!
Ndio maana hata kuwa waaminifu inawawia vigumu sababu kama pesa ndio password na sio upendo wako basi jua tu kuwa huwezi kuwa na uhusiano na mtu mmoja.
Bidhaa siku zote haikataagi mnunuzi [emoji28] msihalalishe biashara ya ngono kwa style hio.
Leo ntakupa laki utakuwa na mimi akija wa laki na nusu nae utampa mbunye hapo kuna mapenzi kweli?
Hakuna ubaya ukimuomba mtu wako pesa hata mara moja .
Mimi sizungumzii huko kuomba hela kwingine .
Kuna Majini makata hayaangalii unanini wao wanataka Pesa tuVyovyote vile 😅😅ila toa pesa mkuu wacha ubahili na uzuri wetu wengi hua hawaombi usichokimudu hata kama ni kizinga utapigwa kilichopo ndani ya uwezo wako
Hapo sasa 😂Eti usiombe hela kisa utaonekana unauza [emoji28][emoji28][emoji28]ila kukuzagamua akuzagamue anavyotaka
Kuna Majini makata hayaangalii unanini wao wanataka Pesa tu
Hapo sasa [emoji23]
Kuomba hela kwa mtu wako ni muhimu
Mambo lazima yaende simultaneously
Kumbe unatuinjoy eeh😅 mie najua kila demu mmoja yupo jamaa mmoja ambaye anampaga mbunye bila makato wala tozo. Hilo wewe umekiri hapa bila shaka.[emoji28][emoji28][emoji28]hata mi natoaga siombi hela hadi nauli natumia yangu sio shida zangu
Ukiomba hela tu disqualified! Next please...Hapo sasa 😂
Kuomba hela kwa mtu wako ni muhimu
Mambo lazima yaende simultaneously
Ni muhimu kuwahudumia wachumba zenu.Ukiomba hela tu disqualified! Next please...
Ni muhimu ila sio lazima😅 tukubaliane katik hilo! Tatizo ni wanawake wa sikuhizi kulazimisha hilo tu ili muwe wapenzi!Ni muhimu kuwahudumia wachumba zenu.
Nani sasa aje kuwagharamia nahitaji yao Kama sie nyie ?
Mzagamuoano ukikolea pesa itatoka tu ila sio kuanza kufosi upewe hela kila saa! Hapo ndio ukorofi unapoanzagaEti usiombe hela kisa utaonekana unauza [emoji28][emoji28][emoji28]ila kukuzagamua akuzagamue anavyotaka
Hahahha nomaNi muhimu ila sio lazima😅 tukubaliane katik hilo! Tatizo ni wanawake wa sikuhizi kulazimisha hilo tu ili muwe wapenzi!
Hapo sahihi mrembo. Ukisema mara moja iwe mara moja kweli sio fungulia mbwa😂Hakuna ubaya ukimuomba mtu wako pesa hata mara moja .
Mimi sizungumzii huko kuomba hela kwingine .