Wanawake mnatuchukuliaje sisi Wanaume?


Sisi wenyewe hatujui tunachokitaka [emoji28]
 
Dawa yake hata ukimjua unamkazia kuomba penzi yeye si kaamua kuwa dume jike, unamkazia. Anakwambiamimi mwanaume bwana unamwambia sawa ila me nishakupenda sasa nimegee penzi lako mbwa wewe.
Huu sasa uchizi eti nimegee penzi lako [emoji23][emoji23]
Hapo unakua umetapeliwa, nauli na vocha zishaliwa sanaaaa
 
Shida sio kutisha sana shida Daktaree wangu hataki kabisa kuwaona jinsia me [emoji23] mbona kichwa chako kizito hivi
Si ni changu [emoji23]
Nmeshaelewa ila daktari kanikatili sana.
Jana mlinifanya nimelala kwa tabasamu, yaani mlijua kunichekesha walai,

Shunie nina zawadi yako [emoji847] huyu Half american atajua mwenyewe na midevu yake [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ubaya ni kwamba hainaga formula ninachotaka mimi sicho anachotaka Shunie au Joannah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…