Wanawake mnatuchukuliaje sisi Wanaume?

Wanawake mnatuchukuliaje sisi Wanaume?

Copy!
Bring the medical team to assist the rescue team. I insist, bring the medical team to assist the rescue team.
Officer do you hear me? 😃😂
Half american 🫡🫡🫡Rogger that Boss

They are on their way🤣how many injuries do we have? 🤣🤣🤣👋

Boss do you copy?
 
Naona unajaribu kutaka kujua vitu ambavyo hata wanawake Wenyewe wameshindwa kuvijua.Kama wanawake Wenyewe hawajui wanataka Nini kwenye mahusiano je wewe unaweza kujua Kweli?
 
Copy!
There are 18 reported injuries
The bridge is under attack of terrorists.
Cancel the mission immediately it's a trap 😂
Half american Roger that Boss🫡🫡🫡

The mission has been changed on air..but there are some miss communication do you copy?

I report from emergency attack department..we have taken the strong measures against the Terrorist attack🤣

DO NOT PANIC🤣🤣🤣👋

I repeat DO NOT PANIC Copy?🤣🤣🤣👋
 
Mkuu njooo! tuendeleze gurudumu hapa...
🤣🤣🤣
Thread yako wameifunga Mkulungwa01
Thread 'Cocastic acha ulimwengu ujue nimeshindwa kuvumilia!'
Cocastic acha ulimwengu ujue nimeshindwa kuvumilia!
50CFAB79-D1A7-4668-A477-8C2B0FFCA6FA.jpeg
 
Watu wa JamiiForums huwa wananishangaza sana. Na leo hii nakushangaa na wewe.

JF ni anonymosity forum. Hauwezi jua uhusika wa account owner hata iweje, kitu kinachofanya iattract kundi kubwa la watu insecure na ordinary kwa urahisi na kinyume chake kwa uchache watu wenye Agenda maalum. Means ni ngumu na hauwezi kuta binti mdogo kwenye prime yake akitumia JF.
Mostly female users wa jf ni watu wazima over 30s waliopigika na maisha wakilingia fake avatars ni wish fulfilment kwa kutumia Profile pictures za warembo na mabinti wadogo wenye mvuto kutoka Instagram. Instagram sehemu ambayo warembo na mabinti wadogo wanapapenda sababu ni rahisi kuonesha mivuto yao. You see? It's all connected. Tafuta pesa na blah blah nyingine, again ni wish fulfilment. Hivyo futa hiyo kauli ya "Mabinti" wa JF.

Kingine ni kwamba JF ni mtandao mdogo hivyo ni rahisi kwa watu ordinary kupata cheap popularity. Get outside touch some grass goddamnit!
 
Watu wa JamiiForums huwa wananishangaza sana. Na leo hii nakushangaa na wewe.

JF ni anonymosity forum. Hauwezi jua uhusika wa account owner hata iweje, kitu kinachofanya iattract kundi kubwa la watu insecure na ordinary kwa urahisi na kinyume chake kwa uchache watu wenye Agenda maalum. Means ni ngumu na hauwezi kuta binti mdogo kwenye prime yake akitumia JF.
Mostly female users wa jf ni watu wazima over 30s waliopigika na maisha wakilingia fake avatars ni wish fulfilment kwa kutumia Profile pictures za warembo na mabinti wadogo wenye mvuto kutoka Instagram. Instagram sehemu ambayo warembo na mabinti wadogo wanapapenda sababu ni rahisi kuonesha mivuto yao. You see? It's all connected. Tafuta pesa na blah blah nyingine, again ni wish fulfilment. Hivyo futa hiyo kauli ya "Mabinti" wa JF.

Kingine ni kwamba JF ni mtandao mdogo hivyo ni rahisi kwa watu ordinary kupata cheap popularity. Get outside touch some grass goddamnit!
Goodluck brotherhood 🤣🤣
 
Back
Top Bottom