Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Niamini kijana wangu..[emoji4] mie siwezi kukusagia kunguni hata 1 day yes....[emoji1787]
Mzee muaminifu kabisa hapa jamvini, na ukinipa demwako nimpeleke sehem namfikisha salama kabisa...[emoji13]
Sina ufala huo dadeki[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] naogopa,nisijerushiwa makombora bure,kutaja Id za wapenzi wa watu,

Mtaje tupo na Maua tutakutetea bana [emoji23][emoji23]
Hebu mtaje haraka basi uzi uchangamke wakija na mapovu yao tunadekia korido za jf [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu cocastic unabebewa mume huku Njoo maua anauliza
Yesu....πŸ™†β€β™‚οΈ
Sijui kwanini nimesoma hii komenti....πŸ™Š
πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…