Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

[emoji23][emoji23][emoji23] naogopa,nisijerushiwa makombora bure,kutaja Id za wapenzi wa watu,

Mtaje tupo na Maua tutakutetea bana [emoji23][emoji23]
Hebu mtaje haraka basi uzi uchangamke wakija na mapovu yao tunadekia korido za jf [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Back
Top Bottom