Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Wameanza kutajana wale jamii ya chitchat bisha nipo pale👉😁
 
Ukweli wangu toka moyoni..... Mimi nampenda Joanah alafu hata simjui yupoje ila vyovyote tu atavyokuwa
Kama mdau hapa alileta mrejesho jinsi alivyomkimbia pisi kwenye lodge aliyokuwa amefikia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Uzi ulikuwa una maudhui ya kuwashukuru wahudumu(ke) wa Lodge wanaojali.

Na wewe usije ukamkimbie....
 
Hawajiamini na bahati mbaya ninachowahurumia wanadate na wanaume malaya ila wanajiona wanapendwa hiv alafu unamsema mwanamke mwenzio si umfte tu umwambie bhana Aaliyah Sijapenda hiki

Hivi huwa wanakutana kweli? Mimi najua utani tu!! Basi kazi ipo ndio hao wanaletwa baadae wamepasiana mpira?
Bwana mmoja anatembea na marafiki wote?
 
Back
Top Bottom