Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Mdomo wangu koma mimi...😶Mh Joan ni mwanaume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdomo wangu koma mimi...😶Mh Joan ni mwanaume?
Msala wako huo mkuu...Babu unatafuta maji maji war mi simoo [emoji23][emoji23][emoji23]
AhaahahaMdomo wangu koma mimi...😶
Msala wako huo mkuu...
[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Duh kumbe[emoji23]Mkuu, utampendaje mwanaume mwenzio...!![emoji54]
Nimesha kublock PM ndio staki mishangazi kabisaaa....😜😜Ahaahaha
Nije pm uniambie vzr mwanaume wa dar hamna vifua 🤣🤣
Ahahahhaha sasa pale sinza kwenye magar unaenda kufanya nini 🤣🤣🤣 nikikukutq nakupiga na pichaNimesha kublock PM ndio staki mishangazi kabisaaa....😜😜
Ungeanza wewe kutaja au we sio mwanamke?Tuambieni jamani wanawake ukiona ID yanani humu unaanza kupata hisia za mapenzi sema tu basi tujue siri sio nzuri.
Naombeni mushuke
Mbona ukusema 🤣🤣Unatak kugombanisha watu na wapenzi wao Kuna mtu aliqoute tu watu wakazama pm kunisimanga 😀😀😀sema maneno sio sumu sijafa Wala nn alhamdulillah 🙏
Kama mdau hapa alileta mrejesho jinsi alivyomkimbia pisi kwenye lodge aliyokuwa amefikia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukweli wangu toka moyoni..... Mimi nampenda Joanah alafu hata simjui yupoje ila vyovyote tu atavyokuwa
Unatak kugombanisha watu na wapenzi wao Kuna mtu aliqoute tu watu wakazama pm kunisimanga [emoji3][emoji3][emoji3]sema maneno sio sumu sijafa Wala nn alhamdulillah [emoji120]
Mimi sio mkorofi nimeamua tu kuwaangalia na mamboyaoMbona ukusema 🤣🤣
Wanaume hawatakiwi kupendana baba DICKson? 🤣Mkuu, utampendaje mwanaume mwenzio...!!😯
Hawajiamini na bahati mbaya ninachowahurumia wanadate na wanaume malaya ila wanajiona wanapendwa hiv alafu unamsema mwanamke mwenzio si umfte tu umwambie bhana Aaliyah Sijapenda hiki
Kwakweli ni hatari mm napenda mtu nikimkwaza anifate aniambie tu nitamsikilizaHivi kwann wanafanyaga hivyo? Ni kwamba hawajiamini au? Jf kuna ujinga mwingi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]