Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Wanawake mnavutiwa na nani humu JF?

Mimi namsubiri coca aje nikuone utakavyokimbia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu siku hizi noo kugandanaa, ukiachwa unaachikaaa.
 
Shem shem
Nionee huruma mimi
Sijui nitakimbilia wapi akifika huyo kivuruge[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Jiandae kunisitiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbee unaogopaaa?? Woiiiiiih
 
Mimi sikupeperushii ila naona unataka kumdanganya shosti angu maua, wakati moyo wako upo kwa mdogo angu coca

Labda km mmeachana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna sina taarifa ya kuachanaaa???
Hebu nijuzeee??
 
Wote selfika wanajua Mjep wa coca na hawaachanagi hao wanagombana kwa muda, lakini km mwenyewe kasema hapa anakupenda na watu wote wameona kuwa naye

Ila majibu zaidi utayapata bibie Coca-Cola akifika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Majibu anatoa Mjep [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nani anaishi nae
 
Back
Top Bottom