Wanawake mnawezaje kuishi na mwanaume anayefokafoka?

Unaishi na mgodi huo

Wasiliana na prodyuza wa bongofleva amtengenezee beat atoe single moja matata


Mwanaume kufokafoka ni ongezeko la hormons za kike mwilini kwake
 
Aaa weee 😳 ha ha haa,huyo kakuchoka aisee
 
Nishajiliza, nishanuna....Ila haachi, Hadi sasa nimeamua nijifanye mjinga, nijishushe!
Ila inaniumiza jamani, naumia....kuna wakati nawaza au mapenzi yameisha! Watu wengine anaongea nao vizuri Mimi ananifokea!
Jamani! Pole sana i feel bad jinsi unavyo express your feelings... Kama mi ndo ningekua that man na kupitia huu uzi ningekuomba msamaha mkubwa kabisa na ningebadilika to be that bae you want
 

asikutese kiasi hicho mpe altimatum na kama habadiliki chukua maamuzi ya kutengana. ikibidi mtengane vyumba au uhame kabisa mtengane kwa muda fulani mpeane nafasi akiona ana kuhitaji basi akubali sharti la kubadilika, la habadiliki achana nae huyo atakupa stress tu.
inaonekana hajiamini ndio mana anafoka, kwa nini umfokee mtu mzima ambaye hakatai maelekezo ukimuelekeza? kama mtu ni jeuri ni sawa akifokewa ila kama wewe sio jeuri basi anakuonea.

siku nyengine mrekodi kwa siri asijue halafu baadae utoke nae nje ya mji huko akiwa ametulia msikilizishe upuuzi wake halafu muulize kama ni yeye ndio anafanyiwa hivyo angejisikiaje?
 
Again pole sana. This is so emotional. Pole sana. I pray for you this problem to go away.

So far unaonekana unadili nae kwa akili. Una akili sana. Endelea ivo ivo.
 
kwa nini ulikubali kuolewa na baba yako... au kwa kuwa ulibeba mimba yake kabla ya ndoa......
 
Hahahahah kiukweli nimecheka,pole ila uyo mtu usikute ndo ivyo alivyo ama ndo tabia yake,kwani wewe kama mke bado haujamsoma mwezako mpaka sa hi? ,na kumbadilisha mtu mzima KAZI kweli kweli......mwombe mungu yataisha
 
Ni vitu Gani hivyo vinavyomfanya akufokee mara nyingi am sure ukibadilika na kufuata anavyokuelekeza hatofoka tena.
Otherwise keep on minding your mouth, wanaume hawapendi mwanamke Mwenye kelele.
 
Kama hana kero nyinginezo mzoee jitahidi kupuuza tu,, Tena siku nyingine akifoka jililishe kwa machozi maana wa hivyo wajuzi wa kubembeleza hatari na akiona chozi anajua umeumia pengine atapunguza,,
Hadi nimecheka...wanakuwa mafundi wa kubembeleza enhe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…