AccomplishedEntrepreneur
JF-Expert Member
- Feb 25, 2020
- 507
- 878
Ushauri mubaya shaaana. This translates to ukorofi/kiburiNunua kiredio kile cha bluetooth, hakikisha akiwa around unawasha mziki sauti ya juu usimpe chance ya kukupigia makelele....unafanya kazi zako huku unaimba imba tu.
Unaishi na mgodi huoHabari zenu jamani.
Naomba kuuliza, inawezekana mie nimesahau mafundisho ya shangazi, wanawake wenzangu mnawezaje kuishi na mwanaume anaye fokafoka? Maana mimi naona yamenifika hapa!
Huyu mwanaume amenizidi umri kwa miaka saba, sasa sijui ananichukulia mimi mdogo yake! Yaani nikikosea kitu kidogo atafoka huku ananikata jicho kali, haijalishi kuna dada wa kazi karibu, ni atafoka tu! Huyo dada wa kazi nae anafokewa hadi namuonea huruma mtoto wa watu.
Huwa nanyamaza kisha namtafutia pose zuri namwambia anavyonikwaza ila routine ni ile Ile, nahisi kukonda, kugombana nae siwezi atanibonda nife.
Naombeni mbinu jamani nifanyeje, yamenifika kwa koo mwenzenu?!
Seems una akili sana.Ataona namdharau ndo atanibutua kabisa.
Aaa weee 😳 ha ha haa,huyo kakuchoka aiseeElimu tuko Sawa, amenizidi kipato....Yani afoke Mimi niwashe redio, naweza Kula mateke....akifoka Mimi nikae nimsikilize, niombe msamaha....ndo nakuwa mwanamke mwenye adabu.
Kinachomfokesha sasa hata hakiingii akilini, mfano umekosea kuzima TV, umezima direct kwenye socket atafoka mashetani ya mtaa mzima yatajua....nyiee
Jamani! Pole sana i feel bad jinsi unavyo express your feelings... Kama mi ndo ningekua that man na kupitia huu uzi ningekuomba msamaha mkubwa kabisa na ningebadilika to be that bae you wantNishajiliza, nishanuna....Ila haachi, Hadi sasa nimeamua nijifanye mjinga, nijishushe!
Ila inaniumiza jamani, naumia....kuna wakati nawaza au mapenzi yameisha! Watu wengine anaongea nao vizuri Mimi ananifokea!
Elimu tuko Sawa, amenizidi kipato....Yani afoke Mimi niwashe redio, naweza Kula mateke....akifoka Mimi nikae nimsikilize, niombe msamaha....ndo nakuwa mwanamke mwenye adabu.
Kinachomfokesha sasa hata hakiingii akilini, mfano umekosea kuzima TV, umezima direct kwenye socket atafoka mashetani ya mtaa mzima yatajua....nyiee
Anamtaka na beki 3, huo mkwara tu.Uroda nampa, Yani nampa kweli kweli....Ila hiyo tabia haachi.
Again pole sana. This is so emotional. Pole sana. I pray for you this problem to go away.Elimu tuko Sawa, amenizidi kipato....Yani afoke Mimi niwashe redio, naweza Kula mateke....akifoka Mimi nikae nimsikilize, niombe msamaha....ndo nakuwa mwanamke mwenye adabu.
Kinachomfokesha sasa hata hakiingii akilini, mfano umekosea kuzima TV, umezima direct kwenye socket atafoka mashetani ya mtaa mzima yatajua....nyiee
Pole sanaMichepuko anayo....labda ndo sababu.
Hadi nimecheka...wanakuwa mafundi wa kubembeleza enheKama hana kero nyinginezo mzoee jitahidi kupuuza tu,, Tena siku nyingine akifoka jililishe kwa machozi maana wa hivyo wajuzi wa kubembeleza hatari na akiona chozi anajua umeumia pengine atapunguza,,
😂😂Km wewe ulivyo fundi wa kubembelezaHadi nimecheka...wanakuwa mafundi wa kubembeleza enhe
Saa zingine wanawake wanakera sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka hakyanani