Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Daahhh aiseee ,polw yake sana mkuuu.Mungu akusimamie ktk hilo maana nakumbuka jamaa yangu aliwahi kuapa hivyo hivyo lakini leo hii anaozea jela kwa kesi ya kujeruhi baada ya kumfumania mkewe
AiseeeeKuna mambo mengine kuvumilia inataka uwe na ujasiri wa ziada mkuu. Kusikia mke wako analiwa si jambo dogo eti.
HahahaahaaaaHahahahaha kweli kabisa sasa inamaana nyie tu ndiyo Mna mioyo ya kuumia???
nyie mnakitombesha nje haswaaa ila ionekane kwetu saasaa balaa
cc Smart911
Lol si kwa mi example hio teh[emoji1] [emoji1]!!! Ofcourse Smart911 can manage hio idadi.. Make nguvu anazo tena nyingi mnoooo na uwezo wa kuhudumia wote pia upo...... Kumbe wanaume wakristu mke mmoja wanakosa uhondo sio??!!!!!!!! [emoji1] [emoji1] [emoji87]Hahahaahaaaa
Ni human nature ,ndio maana hata dini zinazoruhusu ndoa za wenza zimetoa nafasi kwa wanaume tu kuoa wake wengi si mwanamke kuolewa na wanaume wengi
Imagine ww uolewe na wanaume wanne! Unaweza kuwamudu kweli?[emoji23] [emoji23] lakini smart anaweza akawa nao na akawamudu
Kiimani hilo linawezekana sana ila si vinginevyo.Hahahaha mkuu ,kwan inakuaje mtu anaumizwa then anashindwa kumove on?? Inakuaje hiii aseee inakuajeee??? Niudhaifu gani huo??.
Daahhh naamin mazuri yako mbele, leo tukiachana ,naamin mazuri nitayapata huko mbele ya safari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndoa iheshimiwe na watu wote. Ila kiukweli kbs cheating kwa sisi wanaume huwa ipo japo kwa siri sanaLol si kwa mi example hio teh[emoji1] [emoji1]!!! Ofcourse Smart911 can manage hio idadi.. Make nguvu anazo tena nyingi mnoooo na uwezo wa kuhudumia wote pia upo...... Kumbe wanaume wakristu mke mmoja wanakosa uhondo sio??!!!!!!!! [emoji1] [emoji1] [emoji87]
Shida inakuja pale unapogundua kwamba ww kuona kwamba unamtesa akili yake hateseki yy ila inakutesa mwenyeweDaahhh aiseee ,polw yake sana mkuuu.
Ujue nn, sitokaa nimpigw mwanamke, akinisaliti naacha .
Kwamakosa mengine nitaangalia pia,, km adhabu kwa mwanamke nitaitesa akili yake mpaka yeye mwenyewe anyooshe mikono juu.
Mwanamke usimpige.... Tesa akili yake.
Hahahaha then the best way to go is letting go!!!Shida inakuja pale unapogundua kwamba ww kuona kwamba unamtesa akili yake hateseki yy ila inakutesa mwenyewe
Hatareee sana! 😀 😀 😀 😀Pengine ushawahi kuisikia hii stori.
Kuna mmakonde mkewe alikua malaya sana jamaa akipita mtaani ananyooshewa vidole.
Siku hiyo anarudi nyumbani akakutana na watoto wa shule ya msingi wakisimulia kua wamempiga fiesta mke wa jamaa.
Jamaa akafika nyumbani kwa ghadhabu anamwambia mkewe "Iyeee kukitembeza ntaa njima umeona haitochi umewapelekea mpaka watoto baah, nitafungulia n'jiki chidi mia chaba na mimi nigawe nkundu ntaa wote huu...halafu tuwaulije nani ntamu"
Kiukweli inaumiza sana, sema wanawake huwa inafika wakati mnasamehe lakini kwa sisi wanaume ni hatari sana. Jamaa yangu kajenga nyumba nzuri tu kamnunulia na gari ya kwendea kazini mkewe, siku ya siku akaja kumfuma amemvulia chuppi mwanaume ndani ya gari ile ile aliyomnunulia kapanua miguu anatiwa - aiseeeeeeee jamaa alilia saaaaanaMi bora nisijue kwakweli Yani nikijua najikuta naisha taratibu... Nakonda balaa hata kama nilikua bonge naishaaaaa
Cc Smart911
Wakati huo huo mkeo kujiridhisha kuwa wewe pia unakula mahali.... Ni jambo jepesi kwake sio??!!Kuna mambo mengine kuvumilia inataka uwe na ujasiri wa ziada mkuu. Kusikia mke wako analiwa si jambo dogo eti.
swali zuriMkuu umegonga keyboard kwa hisia kali mno. Nikuulize tu kuwa wewe huwa ni mwaminifu katika mahusiano? Yaani ukiwa na mpenzi au mke no cheating kabisa? Kama jibu ni NDYO basi nimekuelewa hisia zako ila kama huwa una cheat basi chukulia poa na ukichapiwa ni siri ya ndani
Ndo ukisikia mume amuua mkewe sometimes haya mambo yanachangia sana.. Hapo automatic unafanya kitendo bila wewe kujua! Nadhani mwanaume kuchapiwa inauma sana kuliko hata mwanamke kuchitiwa.Kiukweli inaumiza sana, sema wanawake huwa inafika wakati mnasamehe lakini kwa sisi wanaume ni hatari sana. Jamaa yangu kajenga nyumba nzuri tu kamnunulia na gari ya kwendea kazini mkewe, siku ya siku akaja kumfuma amemvulia chuppi mwanaume ndani ya gari ile ile aliyomnunulia kapanua miguu anatiwa - aiseeeeeeee jamaa alilia saaaaana
Siyo jepesi hata kidogo ndio maana nikasema yeyote Kati ya mume na mke atakaeona hawezi kuvumilia usaliti muachane mapema kwa amani maana kifuatacho itakuwa balaa kwa sababu MI najua wenye moyo wa kuvumilia usaliti ni wachache.Wakati huo huo mkeo kujiridhisha kuwa wewe pia unakula mahali.... Ni jambo jepesi kwake sio??!!
Au unaonaje Cole Williams?Aiseeee
Vinginevyo nini mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] au ndio mambo Kama ya huyo mchungaji huko Dodoma?Kujua mke anagongwa nje ni mtihani mkubwa sana ambao wanaume tulio wengi huwa kuufaulu ni Mungu tu aingilie kati vinginevyo mmmmh!